Mgogoro wa Chama cha wanainchi CUF hatuwezi kusema hauna adhari za moja kwa moja kwa mustakabali wa siasa za nchi yetu na demokrasia kwa umajui wake.
Ni ukweli ulio dhahiri kwamba CCM na CHADEMA wanaupalilia mgogoro huu uendelee kuwepo ama kusiwe na maelewano ndani ya CUF kila mmoja kwa wakati...
Wana jamvi twaweza toana tongotongo kwa adha wanayoipata wakristo wa Koptic huko Alexandria na kusini mwa jiji la Cairo Misri, tumekuwa tukisikia matukio kadhaa ya wakristo kuuawa katika nchi ya Misri ambayo bila shaka inajinasibisha ni nchi ya kiialamu. Kwa wataalamu wa dini ya kiislamu ni...
Ukiangalia jinsi mifumo ya siasa inavyoendelea katika nchi yetu tunaona taswira ambayo si njema kwa mustakabali wa Mama TANZANIA. Vijana leo wanafia vyama vyao vya siasa kuliko kulifia taifa, wako tayari kupongeza sehemu ambayo haikupaswa kupongezwa, wanakosoa sehemu ambayo haikupaswa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.