Wewe hamia huko ulikopekekwa acha kelele! Huyo afisa elimu msingi mzaliwa wa kagera kawazadia ualimu mkuu ndugu zake akina Mutakyao pindi tu baada ya kuwasili msingi. Hivyo fanya kazi acha nasi tupambane na hali zetu.
Mtoa mada haujaunganisha ... kati ya kichwa cha mada na kinachozungumzwa. Kama siyo kazi kuwa Rais katika nchi za ulimwengu wa tatu jaribu uone. Tofautisha kati ya kuwa Rais na kufanya maamuzi ukiwa Rais.
Kaka yangu Paskali unanishangaza sana na maswali unayojiuliza na baadae kujijibu wewe mwenyewe! Hivi huyo makamu aliposema kwa niaba ya rais wa Chama cha wanasheria kuna mtanzania ambae hajui Rais wa Chama cha wanasheria ni nani?
Mgogoro wa Chama cha wanainchi CUF hatuwezi kusema hauna adhari za moja kwa moja kwa mustakabali wa siasa za nchi yetu na demokrasia kwa umajui wake.
Ni ukweli ulio dhahiri kwamba CCM na CHADEMA wanaupalilia mgogoro huu uendelee kuwepo ama kusiwe na maelewano ndani ya CUF kila mmoja kwa wakati...
Huyo mwalimu wa Masasi Girls kama kumbukumbu zangu ziko sawa ni Masters holder na hivi sasa baada ya zengwe la kupelekwa msingi kang'atuka ameamua kurudi kijijini kwao kulima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.