Search results

  1. D

    Jiji la Mwanza kuna kitu hakiko sawa

    Ebu imagine lile daraja likamilike, magari yaanze kumwagika yakitoka huku na kule, unadhani foleni ya Usagara hadi mjini itakuwaje ?
  2. D

    Jiji la Mwanza kuna kitu hakiko sawa

    Habari Wana jamvi? Naomba kutoa mawazo yangu kuwa Kuna jambo haliko sawa jijini Mwanza hususani swala la miundombinu. Jijini Mwanza hakuna miundombinu au barabara za kiwango cha jiji Kama ilivyo kwa majiji mengine. Barabara ndani ya jiji la Mwanza ni ndogo, na za zamani. Ukiangalia barabara ya...
  3. D

    Namna gani ya kumkwepa mwanamke anayejitongozesha?

    Ukimpotezea hata week, bado anakutafuta !
  4. D

    Namna gani ya kumkwepa mwanamke anayejitongozesha?

    Wanawake wa siku hizi utakuwa huwajui!! Wala, hakuna interest, yeye tu ! Anaomba namba, anakuchatisha nk...
  5. D

    Namna gani ya kumkwepa mwanamke anayejitongozesha?

    Wanawake wa siku, utakuwa huwajui ?
  6. D

    Namna gani ya kumkwepa mwanamke anayejitongozesha?

    Kuna ile mwanamke unamwona au mnafahamiana. Muda si muda mnapeana namba na mawasiliano kuanza. Katika kuwasiliana, mwanamke anajiletaleta au kujitongozesha. Lkn inatokea mwanaume havutiwi na yule mwanamke. Hii ni kwa sababu wanawake wengine au huyo mwanamke sura haisomi kabisa au shape...
  7. D

    TANESCO ibinafsishwe ili kuongeza tija

    Tatizo la Umeme nchini ni kubwa sana. Tatizo hilo ni la muda mrefu, miaka mingi sana. Mikakati na mikakati imekuwa ikipangwa lakini hakuna kinachoendelea. Kuna miaka ya nyuma ilisemwa kuwa ile gas ya Mtwara ingemaliza kabisa tatizo la Umeme nchini, lkn hakuna kilichotokea. Taifa au serikali...
  8. D

    Mrejesho: Biashara ya Nyumba za Kupangisha Vs Nyumba za Kulala Wageni

    Hii iko Wilaya na Mkoa gani ndugu? Kutoka million 35 hadi zaidi ya 100millions, hizi nyingine hujasema ziliparikanaje ? All in all hongera sana kwa kazi nzuri!
  9. D

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kahama akalia kuti kavu kwa mara nyingine tena

    Awamu hii wananchi wamelalamika nini mbele ya Makonda? Umesema amekalia kuti kavu baada ya wanancji kulalamika lakini hujasema malalamiko ya wananchi ni juu ya nini..... Be specific !!
  10. D

    Mabwawa yamejaa na umeme hakuna, TANESCO wako kimya, tunafeli wapi?

    Tanesco masika wanalalamika eti miundombinu imeharibiwa na mvua; kiangazi eti mabwawa hayana maji. Tanesco hawataki masika wala kiangazi, labda sasa waende sayari ya Mars ndo hakuna masika na kiangazi!
  11. D

    Mitandao ya simu inakata hela bila mtu kujiunga na huduma yoyote. Haya mambo wakati wa Hayati Magufuli hayakuwepo

    Siyo Vodacom peke yake, hata tigo nao hivo hivo. Ni juzi tu, wameniibia 400 bila kujiunga na bila kuitumia !
  12. D

    Elimu kubwa TAMISEMI ni kunitafutia stress

    Na jitihada za kusoma na kuondoa ujinga ziko ngazi ya Shule za Msingi, na Sekondari. Elimu ya juu ni kinyume chake
  13. D

    Elimu kubwa TAMISEMI ni kunitafutia stress

    Na yeye ili asaidie atataka mtu anipendekeze kwake mpaka basi, ndo nchi ilikofika Kama alivyosema[emoji2][emoji2]
  14. D

    Elimu kubwa TAMISEMI ni kunitafutia stress

    Hapo aliyeenda kusoma na mwenye Elimu yake humjui na hakukuomba chochote umsaidie, ukimjua si utanuna na kukonda ndugu...... Hakuna anayeenda kusoma ili ku ringishia mwingine. Jiamini tu !
  15. D

    Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?

    Sababu ni maarifa na ujuzi kidogo sana. Pili,.watu wengi huamini nguvu zilizoko gizani !
  16. D

    Elimu kubwa TAMISEMI ni kunitafutia stress

    Digba Sowey! Unanikumbusha novel moja iitwayo "Unanswered Cries".
  17. D

    Elimu kubwa TAMISEMI ni kunitafutia stress

    Kwamba ubobee kwenye uchawa na ulozi ndo uteuliwe uwa HM au DAO, hii ni hatari. Unavyozidi kusoma, ndivyo kiwango cha kujipendekeza kinapotea !
  18. D

    Elimu kubwa TAMISEMI ni kunitafutia stress

    Kuwa TOD nako hakukufanyi uache kulialia. Mtu yeyote makini na akili iko intact hawezi kulidhika na utumishi ule ikiwemo Ualimu (Tod)
  19. D

    Elimu kubwa TAMISEMI ni kunitafutia stress

    Hili ni sahihi kabisa kwa nchi zetu hizi za Africa ambazo ni masikini, hazijali wala kuthamini matokeo ya Elimu kubwa.
Back
Top Bottom