Siku kama yeo mwaka 2017 niliingia rasimi katika mtandao wa JF imetimia miaka Sita kama mwana JF natoa shukrani kwa wana Jf wenzangu kwa michango yenu.
Nimebadili sana maisha yangu mtazamo wangu ndani ya hii miaka pongezi zangu kwa Moderator @maxemelo
Rai hiyo imetolewa leo Jijini Dar es Salaam na Balozi wa Palestina nchini Tanzania, Hamdi Mansour Abuali,wakati akizungumza na waandishi wa habari akizungumzia juu ya machafuko yanaendelea kati ya Israel na Palestina.
Aidha,Balozi Abuali amesema mashambulizi hayo yamekuwa yakitoa roho za watu...
Habari wakuu ñina mpango wa kununua kiwanja Dar ukubwa wa sqm 800 katika maeneo kati ya mbezi, kigamboni chanika chamazi bajeti yangu million 10 au kibaha
Sehemu gani itakua nzuriii ambayo haitakua kushoto kwa muelekeo wa Tanga
Habari wakuu Nina plan yafungua duka la Kuuza mayai ya kisasa pamoja na tray zake
Mpango wamayai ninunue Moja kwa Moja kwa wafugaji wakubwa location itakua Dar Ubungo huku na mm nitaanza taratibu kuwafuga hawa kuku target and of the day mayai nizalishe mwenyewe kutoka shambani nisiwe dalali...
Habari wakuu,
Mtoto wa kiume ana miezii miwili sasa macho yake yanatoa matongo tongo, tumeenda hospital wakatupa dawa tumemtia lakini wapii still hadi sasa hili tatzo limekua sugu.
Masada wenu wakuu.
Habari wakuu
Naomba kujuzwa mm nimkulima wazao la michungwa msimu huu machungwa yamekua na ukungu mweusi na majani yake ya michungwa yamekua meusii kama kwenye picha.
Msada wakuu
Habari wana JF
Hiii sio sawa TRA yani ushuru wa hii gari milion 55 sawa na nusu bei ya hii gari uko Japan kama kijana umejichanga uchukue hii ndinga Land cruser prado milion 97 Japan lakini ukija Bongo Unailipia tena milion 55 kama ushuruu
Hii inawapelekea kama serkalii kukosa kabisa haya...
Finca Microfinance clears losses , records profit in 2022 Finca Microfinance Bank Limited posted a profit after income tax amounting 1.3bn / - last year , compared with a loss of 3.4bn / recorded during the previous year .
The statements show total assets increased to 79.7bn / - during the...
Nahitaji kufungua account na hii bank ili niweze kuweka fixed diposit lakini cha kushangaza hii bank kadi zao hazina huduma ya fixed diposit.
Vipi usalama wa hii bank wakuu?
BOT
Habari wakuu,
Wapi nitapata chimbo la spea za pikipiki kwa bei ya jumla nahitaji kuuuza jumla la rejareja sasa wapi nitapata mzigo kwa bei ya jumla mwenye data kuhusu hii biashara msaada wakuu.
Benki ya NBC Yazindua Hati Fungani ya NBC Twiga, kuwainua wajasiriamali na wadau wa kilimo.
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetangaza utoaji wa Dhamana (bondi) ya miaka mitano inayofahamika kama Dhamana ya Twiga NBC, (NBC Twiga Bond) ambayo inamlenga mtu yeyote anayetaka kuwekeza na kupata...
Habari wakuu,
Nina seving yangu ya milion 50 nataka kuweka finca fixed deposit nasikia wanatoa riba ya 14% kwa mwaka tofauti na bank nyingine wao hutoa 6%.
Asilimia 14% za finca zimenivutia nataka kuzifata wasiwasi wanguu kuhusu hii bank usalama sije ikafilisiwa na BOT, Je pesa zetu...
Habari wakuu:
Nafanya biashara ya duka la rejareja yapata miaka 6 sasa mafanikio makubwa nimeyapata kupitia hii biashara hakika sijutii kuingia katika hii biashara.
Nakaribisha wana JF kushare nikichokua nacho kupitiaa hii biashara ya duka la rejareja pia nakaribisha wadau wenye uzoefu...
Habari wakuu
Kuna fursa mtaani imekuja ya ununuzi wa mafagio ya njiti za makutiii kwaajili ya kuwekezea paa za nyumba za watalii
Wananunua ujazo wa role ya ufagio kwa tsh mia tano 500/
Shunguli ya kukaa na kisu na kuanza kunjoka si ya kitoto je kunaurahisi mashine inayoweza kuchonga
Habari wakuu, nahitaji kuchukua mkopo bank kupitia dhamana ya pesa zangu ambazo zipo kwenye account ya NMB bonus account
Lakini kupitia hii account nahitaji kufanya fixed deposit. Je, nitawezaje kulipia huu mkopo kipindi ambacho account imefungwa?
Nadhani nimeeleweka.
Msaada tafadhali.
Benki ya NMB imetangaza kupata kupata faida ya shilingi Bilioni 298 kabla ya kodi ambayo ni sawa na mwaka wa 54 % ndani ya nusu ya kwanza ya mwaka 2022 tofauti na kipindi kilichoishia June 2021 ambapo ilipata faida ya shilingi Bilioni 193.
Baada ya kodi imeongezeka kwa asilimia 53 na mawazo ya...
Habari wakuu hii gari aina ya toyota hizi toleoo la mwaka 2020 kama sikoseii nigari bora zaidi kutolewa kwenye matolea ya landcruiser prado ndomana hata serkali yetu inayaagiza kwakasi sasa yanaenda kushindana na V8
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.