Wakuu salama?
Nilisafiri kwa muda wa wiki 3, kurudi nikajuta kifurushi cha tv kimekwisha (natumia azam ug) basi nikachukua waya wa dish nikachomeka kwenye tv direct, nika add satellite kama 2, ku search nikapata channel ka 40+. kwahiyo nikashindwa kuelewa ni kwangu tu au na wengine mnapata...
kwa Tanzania nimeona mji mdogo kama Biharamulo umepangwa vizuri sana, wamejitahidi sana hadi leo. Ila katoro pale dah changamoto mno, na kuna nyumba za gharama kubwa sana ila hakuna mpangilio kabisa. Mi naona hizo ramani wangekua wanapewa viongozi wa kata na mitaa mapema
umesema ukweli mtupu, hua hawajali vitu muhimu, wanaangalia sura, na vitu vingine vingine, huku nilipo ni mji mdogo wamewamaliza ma bar maid karibu wote....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.