MAMA NA MWANA
Gozbert ; Mama wamenifukuza shule
Mama : Hivi ndo nimetoka kijiji cha Mkomanzila kwa rafiki yangu kuchukua pipa nikoroge pombe, nikiuza nitakutumia mwanangu. Kazana kusoma
Gozbert; Sawa mama naomba na pesa ya Matumizi, nitashukuru.
Mama; Sawa Mwanangu
Gozbert: Mama shikamoo...
Poleni na majukumu
Hii nimeikuta mahali.
Habari yako bwana HASSAN
Narumaini hatufahamiani.mimi naitwa mr JOHN au baba Hellen.mkewangu ni ANITA ambae kwa sasa ndio baby wako kipenziiii kwa maelezo niliyoyakuta kwenye simu yake.
Leo nakutumia sms hii sio kwa ubaya bali kwa kukupongeza kwa...
Mwanamke bila msimamo
huwa ni sawa na choo cha kulipia, yeyote
mwenye pesa ya kukidhi hitaji la
kutoa haja yake, huingia na kutoa kisha
huondoka na kuacha harufu na uchafu wake.
Usichana ni sawa na chakula
kilichohifadhiwa kwenye bakuli zuri na
safi kikiwa kimefunikwa, ikitokea chakula
hiki...
Wakuu Habari za mishale hii,
Kuna jamaa yangu ameniomba nimuulizie sehemu wanakotoa huduma ya massage au barber shop zenye huduma Hizo hasa maneno ya Temeke au tandika. Yeye anatoke Mtwara, ni dereva wa Maroli yuko njiani na amechoka balaa. Anahitaji kufika hapa town apate huduma Hiyo.
Naomba...
Wakuu Habari za mishale hii,
Kuna jamaa yangu ameniomba nimuulizie sehemu wanakotoa huduma ya massage au barber shop zenye huduma Hizo hasa maneno ya Temeke au tandika. Yeye anatoke Mtwara, ni dereva wa Marilu yuko njiani na amechoka balaa. Anahitaji kufika hapa town apate huduma Hiyo.
Naomba...
*MAJUTO NI MJUKUU*
Dada zangu kuna kitu cha kujifunza hapa
Niliolewa na mwanaume mpole sanaaaaaa miaka mitano iliyopita, yani nikisema mpole ni mpole mno, hakunifatilia hata sikumoja, hakuniuliza nini wala nini, alinpa uhuru wa kutosha, nikiaga naenda mahali anasema nenda, hata kama narudi...
Read This Carefully |
A man can cheat on his woman and still love her but a woman cannot cheat on her man and still love him. I say this because while men do not have sex with emotions, women can't have sex without attaching emotions to it. This is the reason men simply need a place to have sex...
*Kweli wasichana mna akili za usiku tu. Unakuta msichana analalamika, "Ooh nyie wavulana ata mfanyiwe nn hamridhiki, ata mpendwe mara ngap, mi mpenzi wangu nilikuwa nampenda tena saaana ila leo hii kanisaliti",,, wakati ukichunguza mapenzi yao, huyo msichana sawa alikuwa anampendwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.