Eneo linauzwa Heka mbili zote kwa Tzs. 16,000 ,000
Mahali: Eneo lipo km 4 kutoka Barabara kuu ya Bagamoyo, ukitokea bunju Ni upande wa kushoto kabla hujafika Bagamoyo mjini .
Lipo karibu na shule ya msingi MATAYA . Eneo Lina Michungwa na minazi
Unaweza Shuka Kitopeni au Kibaoni kabla ya...
Ndiyo maana huwezi kusema kwa nadharia , lazima ufike site ujiridhishe na mazingira ndiyo uweze kumshauri mtu. Kwenye mtandao utakuwa unaongea kwa nadharia tu. Kitu ambacho practically kikawa tofauti.
Biogas Kama biogas , Ina gase 3 , ammonia, Hydrogen sulphide na carbon dioxide.
Kinachofanyika, hizo gase zipo zinatokana na mbole yaani organic material ambayo ndiyo law materials ya Biogas. Unapoweka material kwenye mtambo wa BIOGAS unachanganya na maji, yaani HAYO materials Yana undergo...
Ninaposema uwezo, ninamaana malighafi ya kulisha mtambo yaani mbolea, au mabaki ya chakula na kinyesi. For domestic use ,Residential , mtambo unaofaa Ni 4 mitacubu na 8 mitacubu. Kuanzia 15 mita cube na kuendelea inafaa Taasisi bar , shule na Taasisi nyingine yoyote. Kulingana na kwamba uwezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.