Habari ya uzima!
Nikiwa huko kwenye mitandao mingine nimekutana na bei ikanishanganza nikawaza kama ni hvyo naweza miliki ndiga hii
$1250 hii ni sawa kweli gali kuuzwa takribani milion mbili na kama laki nane hivi sijui au wanazingua wezi
Sasa ni Mwaka umepita baada ya kuamua kuachana na Mchumba niliye mtolea mahali
Nilileta uzi huu mkanishauri vizuri sana wana JF, nilikaa mda kidogo kwakuwa nilikuwa nahitaji kuoa
Na sasa jamani maombi yenu na ushauri wenu umenifanikisha kuoa bint kigoli kabisa wengi walinambia nitulie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.