Kuna ndugu yangu amesoma iyo kozi ya miezi mi4 na alipomaliza alikaa mtaan kama miezi mitatu tu akaajiriwa hapohapo airport
Nadhan point za dogo zina mashiko afu siku zote kwenye maisha sometimes you have to stand in what you believe
Nakazia hapa, mimi pia nlikua mhanga wa izi warts ila BBE ilinisaidia sana yani ndani ya wiki zikaisha warts zote
Cha kuzingatia hakikisha unaoga maji ya moto kabla ya kupaka, pia unashauriwa upake usiku maana ndo mda ambao hao wadudu wanakua active ndo maan mara nyingi hizi warts huwasha usiku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.