Kazi ya maboresho ya reli ya kutoka korogwe - Mombo-Moshi-Arusha imeshafika stesheni ya Mombo, kazi zinazokamilishwa kwa awam ya 1 ni kumalizia bàadhi ya maeneo yaliyoachwa kutokana na reli au vifungashio kungolewa na kuibiwa
Inawezekana vipi kuwa hamua Youtube Channel ambayo inakuwa updated?
Inawezekana vipi tukio kubwa kama lililomkuta Tindu Lissu mmeshindwa kuwa na coordinated flow of info kwenye Twitter, Instagram, Facebook, Whatsapp na kwingineko? Hatujaona mtu yoyote ambaye ni sharp, smart, worldly...
Ametumiwa e-mail yenye kuuliza idara za serikali zinatakiwa kutoa majibu ya e-mails na barua baada ya muda gani?
Email imekuwa delivered kwake huu mwezi wa 3 hajajibu. Kapigiwa simu kasema aliona email lakini hajapata muda wa kujibu
Hivyo maana yake ni kuwa serikali ya nchi hii haijali...
Wenzake karibu wote wameenda Umrah (Hijja ndogo) kufanya ibada ukizingatia Umrah ya mwezi wa Ramadhani una thawabu zaidi na waumini wa dini yake wenye uwezo kama yeye huutumia mwezi huu kufanya ibada zaidi
Yeye anakwenda Canada (alirusha picha kwenye Twitter)
Je huko Canada kuna nini?
Ile...
WanaJamii kuna yeti ambayo inakuja na inahusiana na mambo ya usalama wa nchi na kwa wanaoelewa kuwa huwezi ukawa na national security kama huna food security..nadhani media za Tanzania zitaipick tuu quite soon au mnao scan mambo ya nje mtakuwa mshakiona hicho chuma kinachokuja na moja kwa moja...
Mwanahistoria
Tunaomba utuleteee Historia ya Mzee Ali Hassan Mwinyi tafadhali na sio haya mambo ambayo yamekuwa diluted tunayopewa na magazeti
alikozaliwa career yake familia yake ilikuwaje akawa rais wa nchi 2 tofauti mafanikia yake na ilikuwaje au aliwezake kumkatalia Nyerere na sera za...
Huyu John Mashaka alikuwa awe future leader kwenye serikali ya Mtukufu Rais Magufuli kwa sababu ana meet all the criteria
Msomi na ana Phd etc
Na alikuwa anasema kuwa ni cabinet material na angeweza kufanya mapinduzi makubwa sana ya uchumi wa nchi hii kutokana na experience yake pale WALL STREET
Nashangaa siku hizi hakuna kutumbua majipu
Incompetency iko pale pale
Mafisadi bado wanaendelea kutanua mitaani na siasa ziko pale pale
WITO: Mheshimiwa Rais naomba uongeze spidi ya kunyoosha watu na mkazo tilia kwenye kuwekeza kwenye teknolojia. services za serikali zitolewe kwa njia ya sim...
Alisema atatumia muda wake aliostaafu kuwahudumia watu wa Msoga, bagamoyo na Pwani bila kusahau alisema wazi kuwa moyo wake anasononeka kuona hakuna suluhu ya kudumu ZANZIBAR ana atatumia muda na connections zake zote kusuluhisha mgogoro wa Zanzibar
Lakini cha ajabu hajawahi kukanyaga Rufiji...
Nyumba affordable ya raia wa kawaida ni milioni 800
Hivi huyu Nehemia na NHC wanaishi dunia gani? Hivi kwa hali iliopo sasa hivi kuna mtu wa kununua hizi nyumba? Materials na technology zimefanya construction costs zishuke maradufu. Sasa sielewi why bei ziwe kubwa kiasi hiki?
Cha kujiuliza...
1. Rais anaongoza nchi ya watu milioni 50
2. Ndio kamanda mkuu wa vikosi vyote vya ulinzi na usalama
3. Kaenda kwao Chato, na kutoa kauli kuwa:
Ana task force ya siri ambayo inafanya kazi ya kupitia maofisi ya serikali na vitengo mbali mbali na kusema wazi kuwa kikosi hicho cha siri...
Huyu ni waziri wake wa mambo ya ndani na wengine wanasema ni ndugu yake.
Lakini kila kukicha skendo na tuhuma mbali mbali zinazidi kumwandama huyu waziri kuanzia kuchukua mishahara bila kulipwa BOT kwa miaka 6 mpaka hii ya Lugumi enterprises, NIDA na mengineyo.
Kama mlipa kodi najiuliza kwa...
Nakumbuka mzee Mengi alituambia tuwe makini naye,Lakini leo hii ndiye kampuni zake zinapewa tenda karibuni zote Serikalini (asilimia 90).
Huyu mpaka vifaa vya kijeshi anasupply yeye, magodown makubwa yoote anamiliki yeye
Huyu imekuwaje amekuwa na nguvu kiasi hiki? Je, aliyoyasema Mengi juu ya...
Natazama maendeleo ya kisiasa ya mtoto wa ndugu Jakaya Kikwete nashindwa kuunganisha na kuelewa baadhi ya maamuzi yake. Binafsi naamini kuwa kama akiweza kujipanga anaweza kufika mbali lakini somethings don't add up.
Lakini kuna msemo unasema kuwa ukitaka kujua mfalme mzuri au mbaya tazama...
Ethiopia baada ya kuanza shall usafiri wa Light Rail kwenye mjini wake mkuuu wameamua kujenga High Speed Railway kama za Japan na China.
Lakini hawajaishia hapo wameamua kujenga uwanja wa ndege mkubwa kuliko zote Afrika ambao utachukua watu million in 120 kwa mwaka. Sisi airport yetu hapa Dar...
Huyu ndio strategic planner wa Magufuli. I just hope kuwa Magufuli anajua kuwa huyu jamaa ni hatari sana kwa brand yake na atakuwa ni tishio kubwa kwa usalama wa Taifa kama mipango yake itafanikiwa.
Namheshimu sana Magufuli na naamini ni mtu makini na naamini ataweka national interest mbele ya...
Lowassa last week ka raise milioni 300 kujenga msikiti
Wiki hii membe kaalikwa kwenye Qaswida na waislam wa Magomeni sijui ata raise kiasi gani
Sasa kama hawa waislam wako serious kwa nini wasiwaalike hawa wagomebea ili wawapatie pesa za kujenga hospitali kubwa kama zinazomilikiwa na wa...
Kuna conspiracy au inawezekana kuna ukweli lakini the narative kutoka kwa waislam Tanzania goes like this:
1. BAKWATA ni NGO iliyoundwa na Serikali na sio waislam
2. BAKWATA imekuwa inaongozwa na viongozi ambao elimu zao ziko chini sana na hi sio reflection ya waislam
3. Serikali imekuwa...
Nyeti ni kuwa Huyu alikuwa ni waziri aliyefukuzwa kazi na JK baada ya kugoma ku saini mikataba ya kifisadi kwenye dili la utanuzi wa Bandari Dar.
Naamini threads na documents zipo kuelezea kwa undani nini kilichotokea na jinsi alivyooingilia maslahi ya Wakubwa zake wa Kazi ambao wako kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.