Nimesoma makala moja humu ni dhahiri tunaendeshwa na mabeberu tena wametukalia mabegani.
Kipindi cha stiglers goj sijui george nlitaka kushawishika kuwa mradi ule ulikuwa unaharibu mazingira, ila niliangalia faida za kuwa na bwawa kuba la umeme ni nyingi kuliko kutunza mazingira ya eneo lile...
Wadau kama heading inavyojieleza hapo, nipo kwenye dilema kubwa sana baada ya mke wangu kunijulisha kuwa ni mjamzito. Kutokana na matatizo ya uzazi tuliyonayo specialist akashauri apigwe ultrasound. Majibu yakatoka ujauzito una wiki 5 na siku nne, na mm nlikuwa huo mwezi ulotajwa nlisafiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.