Forums
New Posts
Search forums
New Posts
New Posts
Latest activity
Members
Current visitors
Verified members
Log in
Register
Trending
Search
Search
Search titles only
By:
Latest activity
Register
Jamii Check
Stories of Change
Menu
Log in
Register
Navigation
More options
Change style
Contact us
Close Menu
Start Discussion
Staff Online
Fichua Uovu
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
Navigation
General Forums
Sports &
Entertainment
Education, Tech
& Professional
JF English Only
Forums
East African
Forums
Members Only
Stories of Change
JamiiCheck
Fichua Uovu
Search
Search results
Kimeumana Vanilla Njombe: Ni utapeli mtupu
Shida yetu wabongo tunataka kwenda na matukio sana bila kutafakari! Ile ya kware ilikua kali!
Asiye na Chama
Post #278
Nov 2, 2021
Forum:
Jukwaa la Siasa
Waziri Jafo: Wananchi nunueni Majokofu mapya yale ya mitumba yanachafua hali ya hewa!
Nilitaka kutoa comment kama hii!
Asiye na Chama
Post #62
Oct 15, 2021
Forum:
Jukwaa la Siasa
RC Makalla: Machinga wote Dar walio katika hifadhi ya barabara, Wataondolewa na vibanda vyao kuanzia Septemba 13, 2021
Hivi waliletwa na nani?
Asiye na Chama
Post #181
Sep 9, 2021
Forum:
Jukwaa la Siasa
CCM ni kati ya vyama vikubwa duniani (nyuma ya India, China, Pakistan na Uturuki)
Ukimfumania mke wako utasema ni sawa kwa sababu na wa jirani alifumaniwa?
Asiye na Chama
Post #30
Sep 9, 2021
Forum:
Jukwaa la Siasa
CCM ni kati ya vyama vikubwa duniani (nyuma ya India, China, Pakistan na Uturuki)
Ni kweli, na miaka yote ya kutawala bado tunahangaika na matundu ya vyoo kwenye shule!
Asiye na Chama
Post #25
Sep 9, 2021
Forum:
Jukwaa la Siasa
CHADEMA kuingia madarakani ni ngumu kuliko ngamia kupita kwenye tundu la sindano
Uchaguzi gani?
Asiye na Chama
Post #76
Sep 8, 2021
Forum:
Jukwaa la Siasa
DC mteule ndugu "Mchopanga" alisoma shahada ya kwanza bila kuwa na matokeo ya kidato cha sita licha ya kuisoma kwa miaka mitatu
Cheo cha DC hata mtu ambae hajaenda shule anaweza kupewa, it is not a professional post!
Asiye na Chama
Post #85
Jun 21, 2021
Forum:
Jukwaa la Siasa
Kumbe DPP kutenda haki kunawezekana! Hongera sana, kazi umeianza vizuri. Sasa haki sio tu inatendeka, inaonekana! Kazi Iendelee…
Nakubaliana na wewe 100%
Asiye na Chama
Post #10
Jun 21, 2021
Forum:
Jukwaa la Siasa
Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea
Ulishamwoma mama akila mahindi njiani au kugawa mapapai? au akienda kuswali anarushwa kwenye vyombo vya habari?
Asiye na Chama
Post #1,341
May 4, 2021
Forum:
Jukwaa la Siasa
Mama Janeth Magufuli ni mgonjwa kufuatia mshtuko wa kifo cha mumewe Hayati Magufuli
Du sauti kama ya baba yake!
Asiye na Chama
Post #115
Apr 19, 2021
Forum:
Jukwaa la Siasa
Kumshambulia Hayati Magufuli kunaweza ligawa Taifa na kupunguza nguvu ya CCM kanda ya Ziwa
Kweli kaka, hata watu wa hali ya chini mambo yalienda vizuri, fikiria mpaka mchoma mahindi anaweza kumiliki bastola!
Asiye na Chama
Post #267
Apr 14, 2021
Forum:
Jukwaa la Siasa
TANZIA
Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Ameshikiliwa lakini hadondoshi vinywaji!
Asiye na Chama
Post #2,254
Mar 23, 2021
Forum:
Jukwaa la Siasa
Ushauri kuhusu kuwa Mwanasiasa
Kuwa mwana siasa kianzio uwe na unafiki wa kutosha, na usiwe na aibu!
Asiye na Chama
Post #6
Mar 11, 2021
Forum:
Jukwaa la Siasa
Lissu: Rais Magufuli haonekani kanisani wala mitaani, Msemaji wa Serikali atujuze
Ni kweli kabisa, ila akiendaga kwa nini wanaposti?
Asiye na Chama
Post #184
Mar 8, 2021
Forum:
Jukwaa la Siasa
TANESCO tuambieni nini kinaendelea huko Mbeya maana umeme kukatika imezidi sasa
Na Mwanza je, umeme nao unasumbua sana!
Asiye na Chama
Post #46
Mar 1, 2021
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Serikali lawamani kuruhusu Mkusanyiko wa Maelfu kwenye Kilimanjaro Marathon wakati Taifa linapambana na Virusi vya Korona
Moshi mortuary zimejaa mkuu!
Asiye na Chama
Post #108
Mar 1, 2021
Forum:
Jukwaa la Siasa
Dhamiri yamlazimisha Rais Magufuli kukiri uharibifu katika uchaguzi wa Oktoba 2020
Du utapata soko kweli :p :p
Asiye na Chama
Post #58
Feb 25, 2021
Forum:
Jukwaa la Siasa
Tanzania Kwenye Vyombo Mbalimbali Duniani
Mkuu unapoteza nguvu bure, huyu hawezi kukuelewa!
Asiye na Chama
Post #46
Feb 25, 2021
Forum:
Jukwaa la Siasa
Dkt. Mwigulu: Chanjo za Corona zimefanyiwa utafiti nchi za baridi zitawafaaje watu wa Dar es Salaam?
Za polio, ndui, tetanus etc zilifanyiwa tafiti nchi za joto?
Asiye na Chama
Post #65
Feb 23, 2021
Forum:
Jukwaa la Siasa
Hapa sasa Wazungu ni wazi Wameishiwa Mbinu. Tanzania tumewaweza Afrika itakombolewa na Sisi
Utumbo kiwango cha 5G
Asiye na Chama
Post #68
Feb 22, 2021
Forum:
Jukwaa la Siasa
1
2
3
…
Go to page
Go
25
Next
1 of 25
Go to page
Go
Next
Last
Search
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.
Accept
Learn more…
Back
Top
Bottom
Forums
New posts
Post thread
Back