Nataka kubuild body bt naanza na juu kwanza,lakini watu wanantisha niongeze ratiba ya mlo,eti wale mabode byulda msaada plz...,na ukiweka na aina ya zoezi la kupiga sio mbaya,na mda wa kuona outcomez.....
Infact ukristo una mapungufu makubwa kwenye misingi ya imani yake,kuanzia dhambi ya asili,utatu mtakatifu,mgawanyo wa maagano,namna ya kufuata mafundisho na mengine mengi,....concept ya dhambi ya asili hata uiwaze na kujaribu kuitetea vipi,bado ina mapungufu makubwa na haiko sawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.