Search results

  1. D

    "Mama anaupiga Mwingi" Hivi bado inasikika

    Mbona watu walilalamika na baadhi ya wabunge, lkn lini serikali ilishaamua kupitisha kitu Bunge letu au hata wapinzani au wanaharakati wakazuia. Hata hivyo najiuliza "ni lini wananchi wa nchi hii watawaachia wanasiasa wa Upinzani na wanaharakati kuwatetea na wao wako kimya wakisubili matunda"?
  2. D

    Hili la Bodi ya mkopo wa elimu ya juu SMT na SMZ

    Tulieni sindano iwaingie vizuri. Zinanunuliwa meli 8 za uvuvi bahari kuu Zanzibar 4 Tanzania 4, Zanzibar wakivua samaki mapato ni ya kwao na Tanzania ikivua samaki mapato asilimia kadhaa ni kwa Zanzibar kama mgao wao wa faida.
  3. D

    CHADEMA na ubunge 2020

    Umesema vizuri kabisa. Magufuli aliteua makada kushika nafasi za ukurugenzi wa Halmashauri ukifika uchaguzi akatangazwa ambaye hajashinda wataanza kulalamika eti wasimamizi ni makada. Wakati mwingine sielewi huu upinzani. Uchaguzi ujao A kutoka upinzani anashinda anatangazwa B wa CCM sasa...
  4. D

    Naibu Waziri: Si kweli kuwa marehemu Francis Kanyasu ndiye aliyebuni nembo ya Taifa

    Hizi kumbukumbu zitakuwa zimefutwa makusudi tu. Abdulwahid Sykes aliandika historia ya Tanganyika lkn Mwalimu Nyerere anatajwa kutoipenda kwakuwa ilitaja wahusika waliopigania Uhuru kwa kusaidiana na Mwl. Inawezekana hata Serikali zilizofuatia hazitaki tuwajue.
  5. D

    Naibu Waziri: Si kweli kuwa marehemu Francis Kanyasu ndiye aliyebuni nembo ya Taifa

    Ajabu sana. Wanafunzi wanafundishwa kuhusu alama hizi lkn hawaambiwi nani walizitengeneza
  6. D

    RIP Mzee F.M. Ngosha lakini....

    Ilibadilishwa mwaka 1964 baada ya muungano
  7. D

    RIP Mzee F.M. Ngosha lakini....

    Kwa maana hiyo ni sahihi kumwita Mbunifu wa Nembo ya Taifa. Hata yule mjane katika mahojiano yale alikiri kwamba alimwona mume wake akichora kwa kuanfalizia katika nembo nyingine.
  8. D

    RIP Mzee F.M. Ngosha lakini....

    Hii ndo nembo aliyobuni Ngosha mwaka 1957 baada ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar huyo Mume wa mjane akaiboresha tu ya ngosha
  9. D

    Mchoraji wa nembo ya Taifa ahamishiwa Hospitali ya Muhimbili

    Safi sana. Tena unakufa bila hata kuacha chochote nyuma. Angalia huyu mzee kinachomuuza/mwokoa ni Kazi ya mikono yake, Nembo ya Taifa. Sidhani hata rais alikuwa anajua kuwa shujaa huyu yupo mtaani anataabika. Je aliyebuni Bendera yetu ni nani na yuko wapi?
  10. D

    Mchoraji wa nembo ya Taifa ahamishiwa Hospitali ya Muhimbili

    Bata gani wakati wa Nyerere? Nyerere mwenyewe alishindwa kula bata. Kamwone Katibu wa Nyerere hali aliyonayo muda huu. Ukitaka kujua wakati wa Nyerere hali ilikuwaje, hebu jiulize sasa hivi hali ikoje, ukitafakali hali hii ukapata majibu, sasa kwa Nyerere hii ni ya Magufuli ni treller. Acha...
  11. D

    Ibada ya Kitaifa Kuwaaga watoto waliofariki.

    Jamani mnijuzeni ni wapi hapa Arusha Ibada ya Kitaifa kuwaaga wanafunzi waliofariki ajalini jana itafanyika? Au ndo kila mmoja anajichukulia tu mwili wa mtoto wake?
  12. D

    Paul Makonda alikuwa wapi Mei Mosi kwa mkoa wa Dar?

    Alikuwepo lkn vyombo vya habari haviwezi kumtangaza
  13. D

    Dodoma: Rais Magufuli apokea ripoti ya uhakiki wa vyeti vya watumishi wa umma, awataka wajitumbue

    Nami naona hii ripoti haiko sawa maana haioneshi watumishi wenye fake kutoka mashirika ya umma, wizarani au tuseme Serikali kuu
  14. D

    Vifungu mbalimbali vya Biblia vinavyopingana na ndoa ya Flora 'Kusekwa'

    Ishu isingejadiliwa sana kama angefunga ndoa ya bomani lkn kanisani, hapana hiyo siyo ndoa ni kujifurahisha tu
  15. D

    Vifungu mbalimbali vya Biblia vinavyopingana na ndoa ya Flora 'Kusekwa'

    Kwa hiyo hizo nukuu ni za wakatoliki au biblia?
  16. D

    Aliyebuni mfumo wa namba za Magari alikosea

    Siyo leo unamaanisha hadi miaka 50 ijayo au wewe siyo leo yako ni miaka 10 tu ijayo?
  17. D

    Gerson Msigwa kwa hili naona umezidisha hivyo litafakari na ujirekebishe kwani hujachelewa

    Hata kama ni kweli lkn kila mwanausalama ana majukumu yake kila anakotumwa
  18. D

    Nimeona utofauti wa E-FM na Clouds leo kwa sakata la Makonda

    Kwani hizi radio pamoja na kufanyakazi zao kwa kufuata hizo sheria unazozisema, si ni kweli ziko tofauti baina yake!!
Back
Top Bottom