Ngumi ni akili...ukipigana na mtu mrefu inabidi um bane sana yaani usiwe mbali naye maana ukimwachia nafasi ndio anapata ya kukupa kichapo..luiz alijua hiyo ndio maana luiz alijaribu kumbada Aj sana ndio maana Aj ikabidi muda mwingie anamkwepa luiz asimkaribie kwa kumkimbia
Mimi naona sio rahis mtoto amwache mama yake afie ndani mali zipo, anauchungu na mama yake hata kama anahatia lazma afaiti kumtoa mama yake, hana pesa zaidi ya kuuza mali za baba yake .yeye afanyaje
Natumia gari rav4 oldmodel, kuna mlio unaitwa kiduku hasa kwenye magari mengi ya rav4 , mlio huu hutokea pale unapoweka gia kwenye D or R. Hulia mara moja tu. Shida ni nin
Yaani otoke kwenye gari upige picha..hawa watu wasumbufu sana, sioni tatizo lipo wapi ya wao kuweka vibao vya no parking khepusha usumbufu au kuchora ile mistari ionekane
Niende kwenye hoja husika , jaman hawa jamaa wa wrong parking wanasumbu sana hasa kwa hapa Arusha, sijui sheria inasemaje unakuta umepata emejenci unamsubir mtu aje muuondoke gafla wanatokea na kukupiga cheni tena dereva akiwa ndani ya gari..je hi ipo sawa sheria inasemaje. Pil niombe uongoz wa...
Arusha parking fee kwa saa moja ni tsh 300. Ila kuna hao wanajita wrong parking hawa ndio wanakere sana, majiji yetu asilimia kubwa hayaonyeshi sehemu ambayo huruhusiwi kupaki sasa hapo tunapigwa sana na hawa jamaa wa wrong parking
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.