Shida ni kwamba hatupendi kutumia PPP kutoka private sector. Kila kitu ni cash wakati miradi ya PPP mwekezaji atajenga na kurudisha pesa yake hata ikiwa miaka 20, 30 n.k
Mku unahisi jua kama linazidi kushuka. Hili jua ni kati ya mapigo 7 Mungu atatumia katika kuwadhibu wanadamu. someni biblia utalikuta ndo pigo la Nne kati ya yale Saba. Ufunuo 16:1-21
Safi sana. Kumbe na wewe mdadisi wa mambo. Lakini nafikiri huko mbeleni tunapokwenda tutashuhudia joto zaidi ya hili maana maandiko kwenye vitabu vya dini yanaonyesha hivyo.
Nilikuwa nawaza sana katika kipindi cha joto ambacho nimewahi kushuhudia, sikumbuki kama joto la namna hii niliwahi kuliona.
Nikawaza tatizo liko wapi?
Dear JF members,
Sometimes the things which had been "will be" meaning repeated
what happened in history could be repeated .
Lets peruse this document concerning our World to come in the concept of giving an eye on New World Order.
P'se go through the attached document to get the whole idea...
Wana JF, nilikuwa nawaza hivi hii bei ya sukari yaani huku Dar mpaka inafika 4600/= ndo mambo gani haya? Mbona hakuna anaetutetea kwa hili?
Sasa badala yake, watu wamekaa na vinyongo moyoni. Tutafika kweli?
Na ukiona watu wa Dar wako hoi, je huko mikoani?
Msitufundishe tabia mbaya 2025.
Kwani unafikiri mtu wa chini au wakawaida asie na mtetezi huko juu atatetewa na nani? Kwa mfano utakapokwenda wanakwangalia waone kama unaweza kuwatikisa kama uko loose hata haki yako hupati. Ndo imetoka ....
Tunahitaji vijana wajasiri wala usikatae mku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.