Mwanzoni mwa 2000 nikiwa uwanja wa ndege wa DSM nashangaa shangaa kwenye yale maduka ya kwetu yanauza viyu kwa USD mie mimacho kwenye perfumes akaja mdada mmoja akaniambia please chukua LOLITA LEMPIKA mie nikiisikia hiyo.... alinifanya niinunue
Ok hasa tunafikia bilioni 7......
Kwa TZ wanasayansi jamii wanasema asilimia 96 ya wakinamama wenye umri wa miaka 15 mpaka 49 ambapo wengi wao wanaweza kupata ujauzito bila kipingamizi wameshawahi kusikia kwamba kuna njia za kupanga uzazi. ambao hawajaolewa ni asilimia arobaini na ushehe hizi...
Mimi ningeshauri kwanza utayari wa wote wawili as it takes two to tango hasa kisaikolojia maana yaliyosemwa na wote ukiwa na mwenza maisha yanakuwa mswano.
kwenda kliniki ya mama na mzazi mapema iwezekanavyo itasaidia sana kuona viashiria vya hatari mapema zaidi na kupata ushauri ya jinsi mimba...
Pamoja na kukupa pole na kutumia habbat swauda nakushauri kapime macho yako sijui uko wapi kama ni kule DSM CCBRT waweza kugundua kama ni temporary or parmanent disorder na kama ulivyosema macho ni ishu nyeti ....utakuo husomi pole za feis buku oohooo
Swadacta.... Hakuna shaka hata kidogo. Ukienda India (South India.....Madras, Mysore, Bangalore nk) kila mlo utakuta wanakuwekea na vitunguu kibao wee utafuneee ili upate japo faida hata moja.
Big up!
Mmmh pole sana ila waswahili wana mambo sana inabidi Mahona jaribu kuona viongozi wa ko wa dini na wazazi na watu wazima. Kama ulivyosema ww ni mcha Mungu muombe akuonyeshe njia na tiba ya maradhi yako, hilo ndio muhimu kama maradhi yatakuwa yameletwa na uchawi utakuwa umetibu na ww uko salama
Mara kadhaa nilizobahatika kukatiza mitaa ya uswazi huwa kina dada na kina mama wanapenda kukaa hasa jioni wakijielekeza usawa wa hiyo WC. Unakuta ametoka zake kibaruani na vimaji sijui robo ndoo na kijitaulo kimeisha ndani ya guni ana kitaulo kinaning'inia.....kuko nje utasikia hoohohohooo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.