Search results

  1. F

    Wapenzi wa mpira wa Miguu; Hii hapa Fursa katika Soccer ambayo ulikuwa huidhanii!

    Kufanya biashara ya kuonesha mpira wa miguu; Fursa pekee iliyoko nyuma ya pazia! Mpira wa miguu ni mchezo unaopendwa sana hapa duniani. Ni mchezo pekee ambao unawashabiki wengi tena wa Lika zote has hasa vijana wakiongoza. Hapa nchini Tanzania; Wanaume ndio wanaongoza kwa kushabikia mpira...
  2. F

    Watanzania tuache kulalamika eti Vyuma Vimekaza; Tuchangamkieni hii Fursa

    Kufanya biashara ya Kuonesha Mpira wa miguu; Fursa iliyoko nje ya pazia! Mpira wa miguu ni mchezo unaopendwa sana hapa duniani. Ni mchezo pekee ambao unawashabiki wengi tena wa Lika zote has hasa vijana wakiongoza. Hapa nchini Tanzania; Wanaume ndio wanaongoza kwa kushabikia mpira kuliko...
  3. F

    Mbio za Kilimarathon Mjini Moshi wakenya wazidi kuonesha ubabe wao

    Kama kawaida; kwenye mbio za kilimarathon; wakenya huwa wanazota tuzo zote katika kategories za mbio. Mwaka jana tu ndo mtanzania mmoja alitutoa kimasomaso kwa kushinda kategori ya Mita 21 kwa kuibuka mshindi na washindi wengine walofata walikuwa wakenya. Hata leo kwenye hizi mbio za...
  4. F

    Siasa ni Maisha; ni uhai! Ona jinsi gani siasa ilivosababisha wafaransa kuuwa waingereza na Lugha yao ya kiingereza!

    Bonjour! bonjour! bonjour!! Hello! hello! hello!! Ndugu; Kwa wale wanaozungumza au kutumia Lugha ya Kiingereza mtakubaliana na mimi kuwa ni ukweli ulotukuka kuwa lugha ya kiingereza imesheheni maneno Lukuki ya Kifaransa. Pengine kwa kuwa sifa moja wapo za Lugha ni kukua na katika ukuaji wa...
  5. F

    Ona hapa ni kwa nini Maneno zaidi ya 45% ya Lugha ya Kiingereza yana Asili ya Lugha ya Kifaransa.

    Bonjour! bonjour! bonjour!! Hello! hello! hello!! Ndugu; Kwa wale wanaozungumza au kutumia Lugha ya Kiingereza mtakubaliana na mimi kuwa ni ukweli ulotukuka kuwa lugha ya kiingereza imesheheni maneno Lukuki ya Kifaransa. Pengine kwa kuwa sifa moja wapo za Lugha ni kukua na katika ukuaji wa...
  6. F

    Tazama kwanini maneno ya lugha ya Kiingereza zaidi ya 45% yana asili ya lugha ya Kifaransa

    Bonjour! bonjour! bonjour!! Hello! hello! hello!! Ndugu; Kwa wale wanaozungumza au kutumia Lugha ya Kiingereza mtakubaliana na mimi kuwa ni ukweli ulotukuka kuwa lugha ya kiingereza imesheheni maneno Lukuki ya Kifaransa. Pengine kwa kuwa sifa moja wapo za Lugha ni kukua na katika ukuaji wa...
  7. F

    Hamisha hamisha ya walimu wa sekondari kwenda Msingi yakwama shule za mijini; wingi wa walimu shule za msingi yaelezwa!

    Wasalaam wanajamii! Toka mwaka huu uanze na hasa hasa kuanzia tarehe 19 mwezi januari baada ya kutoka kwa ile barua ilokuwa ikiwaelekeza wakuu wa mikoa kupitia wakurugenzi na maafisa elimu kupungunza walimu wa sanaa na kuwahamishia shule za msingi zilizopo karibu; zoezi lililopangwa kukamilika...
  8. F

    Serikali kuajiri Walimu wa Masomo ya Biashara; ya Obtions na ya Fani kutokana na Upungufu Mkubwa wa Walimu Nchini?

    Habari wana jamii. Katika shule za Sekondari za hapa nchini kunafundishwa masomo mengi tu na masomo hayo yamegawanyika katika makundi makuu Sita. Yaani: 1. Masomo ya Science - Physics - Chemistry - Biology -" Geography" 2. Mathematics 3. Masomo ya Arts - History - English Language -...
  9. F

    Sintofahamu yatanda kwa walimu wa sanaa katika shule za sekondari hapa nchini juu ya kuhamishiwa shule za msingi (IKAMA)

    Toka mwaka huu uanze; walimu wa sanaa katika shule za sekondari hapa nchini wamegubikwa na simanzi ikiambatana na Msononeko juu ya Hii operation inayotekelezwa nchi nzima ya kuwahamishia shule za msingi. Waraka uliotolewa unadai kuwa Walimu wa sanaa katika shule za sekondari ni wengi sana hadi...
  10. F

    Mashairi ya Wimbo Lunchtime wa Marehemu Gabriel Omollo na nasaha zake kwa jamii ya sasa

    sasa ni lunchtime tufunge makazi twende kwa chakula tuje tena saa nane wengine wanakwenda kulala uwanjani kumbe ni shida ndugu njaa inamwumiza wengine wanakunywa soda na keki huku roho yote kwa chapati na ng’ombe na wengine nao wazunguka maduka huku wakijidai wanafanya window shopping kufika...
  11. F

    Uchumi wa Viwanda na Uchumi wa Kilimo; Vitu viwili Visivyotenganishwa kamwe!

    Kwa hakika hakuna Mtanzania hata mmoja ambae hamuungi mkono Mh. Rais wetu mpendwa Dkt. John Pombe Magufuli kwenye hii azma yake ya kutaka nchi iwe na uchumi wa kati kupitia uchumi wa viwanda. Raisi wetu mpendwa toka aingie madarakani amekuwa akihubiri uchumi wa viwanda na yeye ni mwumini sana...
  12. F

    Mwaka 2018 umeanza Serikali ikiwa hawajagundua kuwa: "Uchumi wa uwanda sharti uedani na Uchumi wa kilimo!"

    Kwa hakika hakuna Mtanzania hata mmoja ambae hamuungi mkono Mh. Rais wetu mpendwa Dkt. John Pombe Magufuli kwenye hii azma yake yakutaka nchi iwe na uchumi wa kati kupitia uchumi wa viwanda. Raisi wetu mpendwa toka aingie madarakani amekuwa akihubiri uchumi wa viwanda na yeye ni mwumini sana wa...
  13. F

    2017 umeisha ila Kero hii isivuke mwezi januari 2018

    Binafsi namkubari sana Raisi wetu John Pombe Joseph Magufuli kwa utendaji wake usiotia shaka. Namkubari wani ana wasifu mzuri wa kuona kila kitu anachopenda kifanyike na hasinzii wala halali mpaka pale tu kitu hicho au jambo hilo limetekelezwa. Ni optimist. Hapo nyuma tulitangaziwa kuwa Tv...
  14. F

    Ukiishi na Housegirl kwa namna hii; hakika atafikisha hata umri wa kuolewa akiwa kwako na umuoze mwenyewe!!

    Binti wa kazi ni msichana wa umri kati ya miaka 14 hadi 18 ijapo kuwa kuna wengine wamezidi umri huu hadi wengine kabisa kuwa watu wazima; wa mama wa makamo na hadi ma bibi vizee. Binti wa kazi kwa sasa imekuwa changamoto kuwapata hasa baada ya hii sera ya Elimu bure kwani hapo nyuma mabinti wa...
  15. F

    Hii Funga kazi : Mapenzi mazuri kwa Mabinti wa Kazi.

    Habari wana Jamii. Binti wa kazi ni msichana wa umri kati ya miaka 14 hadi 18 ijapo kuwa kuna wengine wamezidi umri huu hadi wengine kabisa kuwa watu wazima; wa mama wa makamo na hadi ma bibi vizee. Binti wa kazi kwa sasa imekuwa changamoto kuwapata hasa baada ya hii sera ya Elimu bure kwani...
  16. F

    Mapenzi, Mahaba; Siraha kuu ya Mafanikio! Soma uhabarike.

    Kwa kujadili hii maada ( Mapenzi; mahaba siraha ya mafanikio; nimependelea kwanza nioneshe historia japo kwa ufupi ya safari ya maisha kati ya hawa wanamziki wa Tanzania Belle 9 na Diamond tuone jinsi gani mmoja wao Mahusiano ya kimapenzi yalivyo ng'alisha juhudi zake kikazi na kufanikiwa na...
  17. F

    Ona Jinsi gani Mahusiano ya Kimapenzi yanavyomweka mtu pazuri kimafanikio: Case study; Diamond vs Belle 9

    Kwa kujadili hii maada nimependelea kwanza nioneshe historia japo kwa ufupi ya safari ya maisha kati ya hawa wanamziki wa Tanzania Belle 9 na Diamond tuone jinsi gani mmoja wao Mahusiano ya kimapenzi yalivyo ng'alisha juhudi zake kikazi na kufanikiwa na leo hii ni billionaire. Kwa wasiojua...
  18. F

    Tukumbushane: Hivi Diamond alimpiga bao wapi Belle 9? Kwani wote walitoka kipindi kimoja!

    Kwa wasiojua Diamond na Belle 9 wote walitoka kipindi kimoja kama sijakosea mwaka 2009 hivi. Wote hawa walikuwa maunderground. Belle 9 akitokea Morogoro mji kasoro bahari pale mtaa wa Mafiga. Wengi walianza kutabiri kuwa kijana huyo mdogo ( Belle 9 ) alikuwa amekuja kujaza nafasi ya mkongwe na...
  19. F

    Dr. Mwakyembe: Kanumba ni staa nilifikiri kaacha mali za ajabu!

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe Juma mosi December 16, 2017 alizindua mfumo mpya wa Kieletroniki wa Utambuzi wa Wanamuziki ambao utaanza kutumika nchini kwa ajili ya kulinda maslahi ya wasanii. Moja ya vitu ambavyo Dr. Mwakyembe alivizungumza ni kuhusu...
  20. F

    Maana halisi ya msemo "If you can't beat them join them" kwa mazingira ya hapa Tanzania

    Habari wana jamii Hii methali ya kiingeleza " If you can't beat them join them. Hii inamaana kwamba ukiona unayegombana nae amekuzidi nguvu; kete au mbinu na kila kitu huna haja ya kunyoosha mikono juu na kujisalimisha au kutimua mbio bali yakufaa kuomba msamaha na kuwa rafiki yake na kuungana...
Back
Top Bottom