Mbona unaota Kweupe hivo mkuu...
Itawachukua Miaka 10 ijayo kufika japo Robo fainali ya CAF Champions league plz mark my words.
Mnaidharau Simba kwa kua mnashinda nayo na Mpo ligi moja ila wenzenu wanavyoitaman hata National Team hamtaamin. Uto is Uto only.
#Simba#Nguvumoja.
Jizime Data tu, ila huyo Kolo ndo anawafanya mjione mpo kwa ligi Bora. Hii inatokana na hasa ubora wake when it comes to International Football Competitions.
Mara ngapi Uto wanaenda kimataifa wanaenda kulitia aibu Taifa na League yetu? Huyo Uto anayejitutumua ndani ya League ni wangapi Kwa...
Hapo nauona mpango wa kudhoofisha uchumi wa dunia (Great Great Economic Depression) ili baada ya Curfew &total lockdowns of some countries mtajipata almost 70% world Demographic ni masikin wa kutupwa.
Huo ndo utakua mwanzo mzuri wa kutekeleza their AGENDA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.