Saa ni mpya kabisa Z51 smartwatch 8
Ina watch faces za apple watch series 8
Unapata na mikanda pair 2
Bei 45,000 Tshs
Maongezi yapo
Naomba radhi picha hazina ubora
Tuwasiliane 0693010101
NB: Kama unatumia iPhone 13 pro max au iPhone 14 pro max nitakupa na cover jipya bure kabisa.
Nilijaribu...
Storage 64gb
Battery health 95%
Touch id inafanya kazi
Ina cracks kidogo kwenye back glass ila imewekewa back glass protector
Bei 400000 tu
Kama upo dar au kibaha nakuletea ulipo nina shida na hela wakuu
Nicheck whatsapp 0693034903 au sms 0693010101
Jana nilikua nasikiliza redio nikasikia taarifa moja ya serikali ya Uingereza haiwatambui wakimbizi kutoka Tanzania sijajua sababu ni nini lakini si Tanzania tu kuna baadhi ya nchi nyingine kama Ghana na Kenya.Kwa mantiki hiyo basi ukizamia Uingereza kwa kisingizio cha ukimbizi kwa Mtanzania...
Baada ya vyuma kukaza kwa wiki kadhaa sasa nakuuzia hii simu kwa bei poa 300000 tu
Sifa
Fingerprint scanner
Storage 32gb
Ram 2gb
Screen: 5.1inches
Colour: white
Condition: new
Andriod :version lollipop
Ncheki sasa tufanye biashara
0738324737 npo DSM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.