Search results

  1. General Akudo

    Arejesha $43,000 (98mil TZS) alizopata kibahati kwa muhusika

    Mkazi mmoja wa Owosso Michigan nchini Marekani, Howard Kirby. Amewashangaza wengi baada ya kukuta US $43,000 (TZS Milioni 98)zikiwa zimefichwa katika kochi la mtumba alilonunua, na kuamua kumtafuta mmiliki wa mwanzo wa kochi hilo na kumrudishia. Ungekuwa Kirby ungefanyaje? Sent using Jamii...
  2. General Akudo

    Dk. Phillip Mpango: Wenyeviti wa bodi taasisi 36 za umma kufutwa kazi

    Waziri wa fedha na Mipango, Dk Philip Mpango amesema wenyeviti wa bodi 36 ambao taasisi zao hazijawasilisha GAWIO serikali kuu siku ya tarehe 24 Januari 2020 wasiende ofisi. Kwa sababu uteuzi wao utakuwa umeshatenguliwa Taasisi 13 pekee zimeweza kuwasilisha Gawio ambazo ni; 1.Chuo kikuu cha Dar...
  3. General Akudo

    Ni kweli mitandao ya simu wanatuibia data au kuna kitu hatujui?

    Salaam wana JF Mara nyingi tumekuwa tukilalamikia mitandao ya simu kuwa wanatuibia mb's na gb zetu kwa kasi ya ajabu. leo hii huko twitter Lady Jay Dee kashangaa, kuwa alinunua 10gb majira ya saa10 jioni, na ilipofika saa za 3 usiku alizima data. kufika siku ya pili saa6 mchana amekuta...
  4. General Akudo

    Zilizala la mwezi Januari na jinsi tunavyoweza kupunguza makali yake

    Salaam wana JF, Daima mwezi Januari ni kipindi kigumu sana kwa mtu mwenye majukumu lakini mara nyingine hata wasio na majukumu hujumuishwa kwa kupigwa mizinga, kukopwa au kusaidia. Pango la nyumba, kibanda cha biashara, ada za watoto shule, usafiri, sare za shule, michango kibao na nk...
  5. General Akudo

    Maisha ni zawadi tuishi kwa upendo na kuhurumiana

    Sisi binadamu ni viumbe dhaifu na wasahaulifu, na kuna maamuzi mabaya uwa tunayachukua kwa hasira na hisia hivyo kupelekea kuumiza wenzetu. Nipo kwenye group la WhatsApp ambapo hivi karibuni mwenzetu mmoja katangulia mbele za haki. Hata namba yake admins wameshindwa ku-remove sababu ya majonzi...
  6. General Akudo

    Kwanini TANESCO haipandishi bei ya Umeme kwa kipindi hiki cha Magufuli?

    Mwaka 2008 nilikuwa napata unit 54 za umeme kwa Tsh. 10,000. Hali hiyo ilibadilika kwa kasi ya kimbunga kwa kuongezwa bei ya umeme mfululizo kiasi kupandisha matumizi yangu kwa ajili ya umeme hadi 25,000 yani matumizi ya kawaida kabisa Baada ya kuondolewa service charge kidogo kumekuwa na...
  7. General Akudo

    Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni wa huru na haki

    Wasalaam wanaJamiiForums, nijikite katika mada. Zoezi la uandikishaji kwenye daftari la wapiga kura likiwa likielekea ukikongoni ni dhairi uchaguzi upo jirani sana. Kwa kuwa walioandikishwa hawatolazimishwa mtu wa kumchagua, kila mtu atamchagua mgombea atayempenda. Hivyo inathibitisha kwamba...
  8. General Akudo

    Simulizi; Umefanya homwork au unacheza tu cheza hapa!

    Wasalaam wana jamii forum, hii stori nimeipata leo na mimi ni baba wa watoto wawili wakike mmoja 8yrs wa pili 2yrs , hii simulizi imenipa funzo. kuhusu kuishi vema na majirani lakini pia kuongea na watoto kwa upole na kuhakikisha baadhi ya huduma zao zinafanywa na mama yao sio housegirls...
  9. General Akudo

    Rest In Peace

    salaaam, kuna stori kadhaa wa kadhaa wenzetu walizianzisha kwa moyo mmoja na wameshindwa kuzimalizia kwa sababu ya kutangulia mbele za haki, Roho za marehemu zipumzike kwa amani
  10. General Akudo

    Nimemiss wimbo wa Kapt Komba - Yule pale Kada

    Wanajamii awali ya yote namshukuru Mungu kwa kuendelea kuruhu niwe hai, Pia naomba marehemu wote na hasa Kapt Komba aendelee kupumzika katika makazi ya kudumu kadili anavyostahili. Nimekumbuka lile jimbo lake matata, [emoji445]sasa kumekucha jogoo limekwisha wika dodoma kada wa ccm apewe kura...
  11. General Akudo

    Gharama za Ulipaji Wa Mkopo Kwa Down Payment HESLB Zinahamasisha?

    Mimi muajiriwa ninakatwa kila mwezi mkopo wa elimu ya juu, ni jambo jema kwa maendeleo ya nchi yangu hususani kuwezesha vijana wengine wasome. Nilikuwa na nia ya kulipa sehemu ya deni langu HESLB lakini niliambiwa kuna gharama. Tangu nikutane na habari hiyo nimeingiwa uvivu, nimeacha waendelee...
Back
Top Bottom