Wakuu heshima sana!
Tafadhali naomba msaada wa jinsi ya kufanya malipo kwenye netflix. Awali sikuwa na shida na nilitumia VISA card kujisajili kwa ajili ya malipo. Baada ya VISA card ku-expire nikapewa mastercard. Lakini nikitaka ku-update payment kwa kuingiza namba mpya za kadi yangu ya...
Wanajamvi heshima mbele.
Naomba kujua kwa mwenye uelewa mzuri kuhusu vyuo vya India vinavyotoa Degree ya Engineering (Civil) na makadirio ya gharama zake. Nina binti yangu nataka nimpeleke huko. Naomba pia kwa anaejua anishauri njia rahisi za kuomba nafasi na pia ubora wa elimu yao.
Nawasilisha
Wadau habari zenu.
Niko Arusha, nataka kufanya biashara ya viwatilifu/pembejeo za kilimo. Naomba msaada kwa anayejua Suppliers na mbinu za hii biashara. Mtaji ni mdogo kwa hiyo sio biashara kubwa kivilee.
Hivi karibuni kabla rais mstaafu JK hajaondoka Ikulu Maalim Seif alifanya nae kikao Ikulu ya Dsm kuhusiana na mgogoro wa Zanzibar. Hata hivyo baada ya hapo haikutolewa taarifa rasmi juu ya walichozungumza au kukubaliana. Kilichotokea CCM wameendelea na msimamo wao na Maalim Seif hajaueleza umma...
Wadau heshima mbele..
Naomba kujuzwa shule nzuri ya wasichana ambayo wanafundisha Combination ya PGM. Binti yangu amefaulu vizuri Form IV na ufaulu wake unamuwezesha kusoma PCM au PGM.
Kwa sasa amepata shule yenye PCM lakini yeye anapenda sana kusoma PGM. Naomba msaada wa ushauri kwani napenda...
Katika hali inayoendelea kushangaza Tume ya uchaguzi imesisitiza kuwa kura ya maoni ni lazima ifanyike 30 April 2015 kama ilivyopangwa. Ikumbukwe kuwa zoezi la uandikishwaji kwa BVR limeshatumia karibu mwezi mmoja kwenye mkoa mmoja.
Sijaelewa NEC wanatarajia kufanya miujiza gani kukamilisha...
Wadau heshima kwenu,
Naomba msaada kwa mtu anayejua shule nzuri ya Private kwa wasichana ya "A" level. Napenda iliyoko Moshi au Mkoa wa Kilimanjaro kwa ujumla. Kama kuna mwenye mawasiliano na Shule ya St. Mary Goreti au Anuarite naomba aniwekee hapa tafadhali.
Wanabodi,
Baada ya kuisikiliza kwa makini hotuba ya Mh. Rais na wazee wa Dar, ambapo alitengua uteuzi wa Prof. Tibaijuka na kumuacha Prof. Muhongo nilibaini yafuatayo;
Kwanza kabisa Rais anajua kabisa tena kwa kina kuwa suala la account ya ESCROW ni mchezo mchafu na hivyo maazimio ya bunge...
Wakuu heshima mbele..
Wadau naoma msaada wa Internet settings kwenye simu ya Galaxy Note 3. Nimekuwa nikiitumia kwa muda mrefu lakini ghafla tu imegomea internet.
Wanajamvi heshima kwenu.
Nimetumia muda mefu sana kufanya utafiti ni kwa nini CCM wanang'ang'ania serikali mbili lakini mpaka hivi leo sijapata sababu yoyote ya msingi.
Nimekuwa nikiamini kuwa serikali tatu ni suluhisho la kero za muungano hata kabla ya mchakato wa Katiba kuanza.Tume ya...
Wadau kuna nyimbo naipenda, ni zilipendwa na inapigwa sana kwenye live band. Wanaiita AFRO. Sina hakika kama ndio jina au la. Naomba kujua imepigwa na nani na mwenye nayo naomba aniwekee nitashukuru sana. baadhi ya mistari ni kama vile "NIMERIDHIKA KUWA NA WEWE MAMAAAA.........UAMUZI NIMEKUACHIA...
Wanajamvi heshima mbele..Kwa muda sasa masikio yetu yamekuwa yakisikia mambo mengi sana kuhusiana na sakata la gesi ya Mtwara. Serikali ambayo ndiyo yenye jukumu kubwa la kuteleza mipango yote ya maendeleo imekuwa ikiwashutumu vikali sana wanasiasa kuwa ndio wanaochochea wananchi wa Mtwara...
Waziri mkuu mstaafu Mh. John Samwel Malechela amesema hakuna haja kwa rais kupunguziwa madaraka kwa sasa kwa sababu nchi yetu bado changa. Ameyasema hayo wakati akitoa maoni yake kwa tume ya marekebisho ya katiba. Kwa jinsi nionavyo maCCM hayataki kabisa madaraka ya rais yapunguzwe.
Source: ITV
Wadau naomba anayefahamu kuhusu mbunge aliyepokea rushwa anijuze, kama anahudhuria vikao vya bunge vinavyoendelea? Sheria inasemaje mbunge anapokuwa na kesi inayofanana na yake?
Wana JF heshima mbele.
Najua kuwa gazeti la Uhuru ni la CCM. Najua pia kuwa ni jukumu lake kulinda na kutetea maslahi ya chama chake yaani CCM. Lakini kinachotokea kwenye hili gazeti ni zaidi ya propaganda. Ni ujuha wa kiuandishi. Nashindwa kuelewa inakuwaje hili gazeti linaandika upotoshaji wa...
Wadau naomba ufafanuzi kwa mwenye kujua sheria za VOTE OF NO CONFIDENCE! Sheria inahitaji asilimia ngapi ya wabunge ili kuleta hoja bungeni ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu! Kura pia inahitaji asilimia ngapi ya Wabunge ili PM apigwe chini? Kura 70 ni asilimia ngapi ya wabunge?
Wana JF...
Kwa jinsi mambo yanavyoendelea ndani na nje ya CCM naamini kwa dhati kabisa kwamba chama hiki sasa kinajinoa kuwa chama cha upinzani na kuwaachia CDM hatamu zote. Nasema CCM ni sawa na sikio la kufa ambalo kamwe halisikii dawa kwa sababu chama hiki kina bahati ya kupata mawazo, ushauri, maoni na...
Wadau nawasalimu.Mimi na wenzangu tumeamua kuanzisha kikundi ambacho kitakuwa na malengo ya kujiendeleza na kubadilishana mawazo na utaalamu. Ni kama SACCOS lakini tunategemea kuwa na malengo mtambuka. Naomba yeyote mwenye SAMPLE ya katiba au document yoyote ambayo itatupatia muongozo wa...
Wadau leo asubuhi Waziri Wassira alikuwa anahojiwa TBC1 kuhusu muswada wa marekebisho ya sheria ya mchakato wa Katiba unaotarajiwa kuwasilishwa bungeni. Cha kusikitisha na kutia aibu ni kwamba Wassira badala ya kuongea kama Waziri wa Serikali ameongea kama mwanapropaganda wa CCM tena mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.