Unapozungumzia juu ya mafanikio ya Chelsea now days bac hautosahau kumtaja m2 anaeitwa Didie Drogba anastahiki heshma ktk kuchukua kombe la Uefa!
Then nackia kuwa kisa cha yeye kuondoka ni kunyimwa mkataba wa Miaka 2 ambayo yeye alìhitaji coz walitaka kumpata mkataba wa mwaka 1 bt all da 2 him!
Hapo m2 me siöni tatizo coz wote ni wakristu tena me mwenyewe ni Anglican like u bt shda mueleweshane coz uhusiano unaonekana divine relatioship so ucmuache coz huyo ni mkeo kama isingekuwa hvyo mngeachana toka zamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.