Leo katika kipindi cha tuongee asubuhi kuna maada inayosema "DEMOCRASIA IOGOPE GHARAMA?
Ni swali linahoji gharama, wachagiaji wamengeme kwenye kuongeza muda wa uchaguz. Wengne wamesema miaka 7 inapendeza kuipa serkali ili itekeleze vizur ahandi zake na kupunguza gharama za uchaguz. Mwingne...
Habar! Jamani kwa wakaz wa kanda ya ziwa naomba kuwashilikisha biashara hii ya dagaa kusafilisha kuleta mikoa ya kanda ya kat kama Tabora, singinda, Dodoma na morongoro. Inalipa baraa. Mi npo moro lakn nimezunguka sana maeneo haya nimeona jins watu wanavyoitaji bidhaa hyo. Nawakumbusha vijana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.