Habari Madaktari na wanadau wengine huku ndani.
Kama wahenge wasemavyo "Mficha maradhi Kifo Humuumbua" nipo njiani narudi tena hospital kuonana na daktari kufanya uchunguzi na kupata matibabu lakini ningependa kuwashirikisha na naomba msaada wenu juu ya tatizo langu.
Siku ya Jumapili nilianza...
Salaam Wakuu,
Sisi wakazi wa huku kanda ya Magharibi na kanda ya Ziwa tunaomba mtufikishie ujumbe MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA kuhusu namna ambavyo Radio tajwa hapo juu kuhusu mambo kadhaa; mfano-
1. Mara kwa mara huwa wanatoa matangazo ya michezo ya kubahatisha/betting (mfano alhamisi hii...
"Habari Wakuu,
Kama mjuavyo jinsi maisha yalivyo magumu kwa sasa huku mtaani, lazima akili na maarifa yaongezeke.
Nilimaliza chuo tangu 2015 ila mpaka sasa sijabahatika kupata kazi ya kueleweka na kila ndugu mwenye uwezo niliyemwomba msaada hakuwa tayari kunisaidia (niliwaomba mtaji tu wa...
Habari Wakuu,
Niko huku kanda ya Ziwa Magharibi, tafadhali naomba kufahamishwa namna ya kuweza kupata kwa uharaka (let's say ndani ya mwezi mmoja) Passport ya kusafiria ya Tanzania.
Ni mambo gani ya msingi napaswa kufanya au vitu gani natakiwa kuwa navyo ili kufanikisha jambo hili?
Kwa sasa...
Habarini Wakuu huko mliko!
Juzi nilihudhuria ibada ya mazishi ya mke wa jamaa yangu huku mtaani kwetu ila pamoja na huzuni zote kuna jambo lilinitatiza na kuniwazisha sana naomba tushauriane hapa.
Kama mjuavyo siku hizi kuna hii tabia imeibuka ya watu kumzika marehemu mpendwa wao kwenye...
Wakuu Habari!
Siku zote nimejitahidi kuwa smart na kuepuka kujihusisha ama kufikishwa police kwa kosa lolote.
Mwezi uliopita nikiwa matembezi huko Tanga kuna kijana aliniuzia simu akidai kuwa ana shida sana ya hela, ilikuwa Tecno Common X kwa Tsh 200K nikaja Singida na kuanza kuitumia as a...
Habari wana JF.
Tangu wiki iliyopita mdogo wangu amepata ajali ya pikipiki huko Songea na kuumia/kupata fractual kwenye fuvu la kichwa. Hali ya mgonjwa ni mbaya na anatia wasiwasi.
Madaktari wametushauri mgonjwa wetu tumpeleke Hospital ya Muhimbili, Agha Khan au KCMC ili apatiwe huduma ya CT...
Habari wana JF.
Tangu wiki iliyopita mdogo wangu amepata ajali ya pikipiki huko Songea na kuumia/kupata fractual kwenye fuvu la kichwa. Hali ya mgonjwa ni mbaya na anatia wasiwasi.
Madaktari wametushauri mgonjwa wetu tumpeleke Hospital ya Muhimbili, Agha Khan au KCMC ili apatiwe huduma ya ST...
Habarini sana wakuu!
Samahani, nipo hapa Dar naomba msaada wa kuelekezwa duka au kufahamisha wapi au namna naweza kupata hizi Swiss Gear Backpark.
Ahsanteni.
Habari Wakuu!
Nafanya kazi international NGO moja huku kanda ya ziwa kwa mkataba wa part time miezi sita sita, nalipwa kwa kila siku ninayofanya kazi, nisipokuwepo kazini silipwi hata kama naumwa au nimefiwa. Nikifanya kazi mfululizo kwa mwezi napata malipo yasiyopungua 1. 4M, mpaka sasa...
Habarini wakuu!
Naomba msaada wenu wa program tajwa hapo juu (VIRTUAL DJ) mniwekee hapa ili nami niweze kuipakua kwani nilikuwa nayo zamani kidogo kwa PC yangu lakini ilijifuta kwa bahati mbaya.
Nimejaribu kudownload mtandaoni mara kadhaa ila napata shida kidogo.
Hata kama wewe ni mbabe kiasi gani ipo siku umma wa wanyonge wataungana na kukataa maovu yote unayowatendea kama yaliyomkuta huyu jamaa (maji yamemfika shingoni hana jeuri tena).
Wakuu niliwahi kuwa na game ya DRAFT kwa Laptop yangu ila kwa bahati mbaya nikaifuta lakini site ninoingia nashindwa kuidownload tena kwa pc yangu, je kuna yeyote humu ndani mwenye kuwa nayo humu nami anisidie!
Game yenyewe huwa inaonekana kama picha hapo chini ila jina limenitoka kidogo...
Hapo zamani, alikuwepo mfalme wa nchi moja.
Mfalme huyu aliwaita watu wote wenye busara kwenye nchi yake na kuwaambia naamini nyinyi ndio mna busara sana, nataka mkae chini na mtengeneze falsafa ya maisha ambayo kila mtu kwenye ufalme wangu ataishi nayo na itamletea mafanikio.
Watu wale wenye...
Heri ya Sikukuu ya Pasaka wanaJF!
Asubuhi ya leo nimechelewa kuamka kidogo nilipowasha tu simu yangu nikakuta sms ya M-PESA inasomeka hivi, nanukuu "BN73ON842 Imethibitishwa tarehe 6/4/15 sa 11:29 AM Toa Tsh700,000 kwa MWANAISHA MAMBO-SINGIDA. Salio lako la M-pesa ni Tsh791,179".
Kwa kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.