Shida ni Mamlaka husika hasa utoaji wa vyeti vya kuzaliwa ofisi za RITA huku wilayani.Kuna changamoto kubwa sana unaenda kuomba cheti cha kuzaliwa na ukiwa umeambatanisha na kila kitu wanachohitaji halafu unaambiwa usubiri mpaka mwezi mmoja. Kwa speed hii sidhani kama kweli kila mtanzania...
Kuna mzungu aliajiri watanzania wengi kwa mikataba ya kudumu kwa sheria za Tanzania anataka kuivunja na kulipa stahiki za wafanyakazi wote. Tunaomba msaada wenu kisheria Je tunastahili kupewa Mshahara wa miezi mingapi? Hawa Jamaa hawachelewi kusema mwezi mmoja. Nawasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.