1. NATO. ni North Atlantic Treaty Organization kwa kirefu chake, NATO ni umoja wa kijeshi kwa ajili ya kujiami mataifa ya magharibi dhidi ya adui yao kama Russia, etc. NATO iliundwa 4.4.1949 wakati wa vita baridi na mataifa kama Marekani, Canada, Britain, France, West Germany, Luxembourg. hayo...
wataalamu wanasema ile picha kma ya mtu unayoona pale ni vimilima vya michanga pamoja na crater zilizopo kwenye mwezi, ingia youtube afu angalia mwezi wakiwa wame uzoom, utakuja kugundua hamna picha wala sura ya mtu yeyote.
punguza wenge kijana. mpe hi doctor senguro msellemu, Dr Naives Kinunda, Dr Ayo, Dr Mhajida, Dr Vakolavene hao wote ni History department Duce. Mungu abariki kazi za mikono yao kwa kunifanya niwe mwl wa history.
Simba haiwezi fika sehemu yeyote na kikosi chenye wachezaji wana maika zaidi ya 40. Kibu anakimbia kimbia tu kama kuku asiye na kichwa. timu nzima ifumuliwe
kuna mfumo unatumika kupata majina na namba zao kwa wanafunzi walio maliza form four. ukinipa jina la shule uliyo maliza pamoja na mwaka nitakupatia majina ya uliohitimu nao pamoja nawewe ukiwemo. mbona ni kitu cha kawaida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.