Ambao mmeanza from scratch ni vyema muweke na vitabu mlivyo soma sio lazima pdf mnaeza weka jina tu lakitabu sisi wafia tech tukajitaftia maana nasoma naona mzozo yani inshort amjasolve problm hata uku mtufanye tuwe wengi mbona wengi wetu tuna passion nzuri tu ya kujifunza utajiskiaje kesho...
Apa kuna mawili ila namwamini mtendaji ajala uroda maana angekula uyo mtoto kwa siku zote 2 asinge kua na stamina ila kushika vikonzi basi apa ni setup tu
Napenda coding but i am empty plate sijui nianzie wapi japo nasoma now kitabu iki ili sijui kama kitanisaidia kama kuna msaada naombeni asa wa kitabu maana totorial nyingi youtube ni za kawaida naonaga ivo
Uyu jamaa inaoneka alikua mgumu mno ata darasani.....ogggy ata wanao usije wapeleka shule watasumbua walimu mno...kama baba yao ujui tofautisha mnafki na mchangiaji basi amna shughuli apo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.