Search results

  1. Rekondoboshiki

    Swali: Hivi kiyoyozi (AC) huwa kinatengeneza oxygen au kinapooza tu hewa iliyoko mahali husika?

    Hilo ndilo swali langu kwa sasa, Hivi kiyoyozi (AC) huwa kinatengeneza oxygen au kinapooza tu hewa iliyoko mahali husika?
  2. Rekondoboshiki

    Naomba majibu kwa anaejua kuhusu mambo haya kwenye mchezo was soka

    Salaam, Naomba kujua iwapo mpira wa kurushwa ukirushwa na kuingia moja kwa moja wavuni kwa timu pinzani bila ya kuguswa na mchezaji yeyote, Je hilo litakuwa ni bao halali? Na je, ni idadi gani ya wachezaji ambao wakipewa kadi nyekundu inam'bidi refa aahirishe pambano. Ni hayo tu kwa sasa.
  3. Rekondoboshiki

    Hii kauli ya Prof, Kabudu ukiiangalia kwa jicho la tatu utagundua upana wake!

    Nimemsikia prof Palamagamba Kabudi, akitamka "Tanzania tuna tatizo la kulalamika bila ya kuchukua hatua" SOURCE: taarifa ya habari ITV my take: Iko haja ya sisi waTanzania kuchukua hatua juu ya mambo yote ambayo hayaendi sawa hapa nchini (yako mengi sana), sio kulalamika lalamika tu!
  4. Rekondoboshiki

    Swali dogo: Ndizi hupata wapi sukari iivapo?

    Niko hapa nnakula ndizi za kuiva, kuna swali limeniijia: ndizi inapokuwa mbichi haina sukari hata kidogo, ila ndizi hiyo hiyo iivapo ina sukari balaa, je huitoa wapi hiyo sukari?
  5. Rekondoboshiki

    Naona vyombo vya habari vinafanya kazi zao kwa woga.

    Naangalia kituo cha ITV saivi, eti habari ya kwanza ni ya kina babu seya kwenda ikulu. Hiyo habari ina maana gani kwa watanzania zaidi ya kuwaumiza wale watoto waliotendewa vitendo vile na ndugu na jamaa na marafiki zao?
  6. Rekondoboshiki

    Wawili wanakuwa mwili mmoja

    Umejitahidi kwa kiasi flani kumjibu huyo ndugu ila umepotosha uliposema "... kwa wakati flani Mungu aliruhusu ndoa za wake wengi". Ukweli ni kuwa MUNGU HAJAWAHI KURUHUSU NDOA ZA WAKE WENGI!!!! NA KAMWE HATOKAA ARUHUSU UZINZI HUO
Back
Top Bottom