Wanangojea iexpire ili waanze kutukimbizakimbiza Kama watoto wadogo kutafuta vitambulisho vingine huku viongozi wakuu wakitafuta kiki za kujifanya kuongeza siku! Mh yaani hii nchi hivi kweli kuna wasomi humu!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aah watakuwa wameanza na za dar mpaka wafike huku Mkoani kwangu mtandao wa tigo utakuwa umebadilisha jina na kuitwa goti [emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Aah we nawe unamsikiliza Yule wenzio wote tushampuuza siku nyingi tu! Sasa Kati ya Asie na kitambulisho/namba ya nida na Mwenye cheti feki nani alikuwa anashinda muda mwingi gest[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Waambie hao wezi waagize kinywaji popote walipo nakuja lipia [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi kutushindisha kwenye mafoleni ya nida na mawakala shenzi kabisa nyie kumbe hamna uwezo wa kuzima na sisajili ng'o[emoji38][emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Salaam! Sidhani Kama kuna mtanzania ambaye Hana Furaha kwa tukio la mchezaji wetu kujiunga na Aston Villa inayoshiriki ligi kuu ya uingereza! Kongole kwa Samata na watanzania wote kwani hii ni fursa nzuri kwa wachezaji wetu.Kwa kawaida EPL huwa na matumizi ya nguvu na kasi kupita maelezo rejea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.