Acha kabisa mziki wa mjeshi...wanapigaa wale balaa nilishaonaga kuna Dada aliolewaga na mjeshi weeee alikiona kiama akianza kumpiga anampiga mpaka ni mibuti yake ile mdada mpaka analazwa...mm mwanajeshi hapana kwa kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.