Duh!! Mkuu kuna dogo flan ivi anaitwa ema niliona bideo yake yutube anapatikana nyang'hwale geita naye kaunda gari kwa ktumia vifaaa vya bajaji na gari pamoja na vyuma vingine na inatembea 120km/h kwaiyo fanya kumuulizia mwaweza endana kimawazo
Hiki kishafungwa sku nyingi na kikakodishwa kwa chuo kikuu Tumain.
Ingawa mpaka sasa sehwm huwa tu wanakitumia kama kuhifadhia na kusambaza bia zao lakin hawadhalishi.
Ukifikapo ndipo kilipo STEPHANO MOSHI MEMORIAL UNIVERSITY COLLEGE ikiwa kama tawi la TUMAINI MAKUMILA UNIVERSITY
Huyo mwanamke kauawa kwa kupigwa lisasi kichwani upande wake wa kushoto
Angalia kwa umakin alipolalia kwa upande wa kushoto kunadamu kwa chini imetoka .
Na kulingana na mkono alivyoishika hiyo siraha asingeweza kujipiga mwenyewe upande wa kushoto na kubaki ameishikilia hapo chini.
Hivyo basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.