Search results

  1. October man

    Ni sahihi kupanga nyumba ya elfu 70 kwa mshahara wa 450,000?

    Inategemea Malengo yako hatuyajui, kwanini hata Ashahara wa 2M nitapanga cha 25000-30000 ila najua baada ya miaka 8-10 nitapanga hata nyumba nzima 3M.
  2. October man

    Vijana msipoteze muda kwenye project zenu za kiteknolojia

    Hivi ujaona kama umetoa hoja mbili tofauti 1)B2B kampuni 2)Industry
  3. October man

    Ship Brokers-Madalali wa meli

    Vipi kuhusu mimi mkazi wa Boko.
  4. October man

    Historia ya BITCOIN: Uliza chochote nitajitahidi kukujibu

    Muwe munasoma Timeline ya uzi kabla ya kujibu.
  5. October man

    Vijana msipoteze muda kwenye project zenu za kiteknolojia

    1)Technology za mlengwa wa viwanda ni jukumu la serikali na ndicho inachofanya serikalini sasahivi. 2)Technology za mlengwa wa Silicon Valley ni jukumu na utendaji kazi wa mtu binafsi...serikalini tunahitaji ku-fix maeneo machache tu. Kila nchi Duniani watu wana practice technology ya mlengwa...
  6. October man

    Vijana msipoteze muda kwenye project zenu za kiteknolojia

    1)Zipo kibaoooo 2)Ni ubunifu Useless kwa developer, developer mwenye maono hawezi tengeneza takataka kama hiyo, hakuna watu wanaishi Primitive kama Dealer wa kilimo then uweke solution huko utegemee Bingo...mcheki C.T.U wazo lake la DUNDA hizo ndio Current Innovation ni idea inayolenga mlengwa...
  7. October man

    Wewe mwanachuo uliyeko mwaka wa mwisho

    Sometimes hatuwezi ongea lugha moja ikaeleweka kwasababu ya familia tunazotoka ni tofauti. Kama wote tungekuwa sawa kifamilia lugha inheeleweka, kuna mshkaji wangu anapewa pesa mpaka ya kwenda interview huyu utamwambiaje lugha hii akaelewa ila mtu kama mimi interview hata iwe wapi nijue pesa...
  8. October man

    Dunia ilipofikia ushindani ni mkubwa sana

    Unaweza nionesha sehemu ya ukanushi kwenye jibu langu ??
  9. October man

    Vijana msipoteze muda kwenye project zenu za kiteknolojia

    Maisha haya hivi kuna App nyingi Duniani kama hizo za bei za mazao na nafaka hemu fanya research kabla ya kuandika. Zipo karibu 300
  10. October man

    Maisha haya wewe ishi kana kwamba utakufa kesho

    Kwahiyo watu wasiishi kwa Malengo kisa hawajui watakufa lini, umeandika takataka jamaa. Umeonesha ujinga. Ninyi ndio munarisisha umaskini watoto.
  11. October man

    Vijana msipoteze muda kwenye project zenu za kiteknolojia

    Tupo tunagonga Code tu mdau karibu Boss.
  12. October man

    Vijana msipoteze muda kwenye project zenu za kiteknolojia

    Nakuunga mkono kwenye kumsema mtoa mada ila hapo kwenye kuhusu kutajirika umeandika ujinga, hakuna asiyependa/kutaka kutajirika na kama wewe utaki kutajirika ni huna akiri.
  13. October man

    Vijana msipoteze muda kwenye project zenu za kiteknolojia

    Mtoa mada njoo weekend hapa Silicon Dar kuna mgahawa unaitwa Startup Restaurant nakuwa na wenzangu tukiDiscusa mawazo huku tukipiga Coding kukamilisha Apps zetu. Tunakula ma Juice ya takeaway na ma pizza ya kutosha life la Tz lishakuwa kama marekani tu mbona unataka kujitesa. Kariakoo= New...
  14. October man

    Silicon Dar: Je ni suluhisho la kweli au janja janja?

    Hizo App mashuhuri duniani zinatoa Huduma za kidalali inamaanisha nini kusema matatizo yanayosumbua Dunia.
  15. October man

    Tunatengeneza garden/bustani nzuri zinazovutia kama hizi

    Aisee Nikiwaletea Dili mchuzi wangu kihasi gani.
Back
Top Bottom