Habari wanaforum!
Hivi ikiwa umekopeshwa na mwajiri na hujamaliza deni huku umepata kazi sehemu nyingine ambayo umeona inakulipa zaidi utaondokaje huku inadaiwa na mwajiri huyu wa awali?
Msaada tafadhali kama Kuna mtu amewahi kukutana na jambo hili kwenye ajira.
Wakuu habari!?
Naomba msaada katika ujazaji wa maombi ya mikopo ya elimu ya juu.
Nimejaza vipengele vyote lakini nimekwama katika hatua za mwisho kwenye Declarations and Signature.
Sehemu hizi:-
1. Attach page 2 of your Application form-After being signed and athourised by applicant...
Habari wakuu?
Niende kwenye mada,
Hivi form six aliyesoma HGE chuo kikuu atasoma coz gani?
Natanguliza shukurani zangu kwenu maana nategemea kupata majibu mazuri.
Wakuu bila shaka wote wazima pande hizi!
Niende kwenye mada, Hivi mtu aliyepata division four ya point 26 anaweza kusomea nini maana hajachaguliwa popote??
Msaada tafadhali!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.