Hadi umejadili humu jua kuna mtu kamuona kupitia TBC1, so ulitaka aende TV unayoangalia wewe?
Mfano mimi habari naangalia Azam TWO, lakini kuna wengine wanaangalia ZBC, etc. Muhimu apate mshahara wa kuendesha maisha yake
Kumbe ndio maana mnalalamika kwa vitu msivyovijua. TCRA walitoa ufafanuzi wa kampuni zipi zinatakiwa kuacha free chaneli za ndani moja wapo ikiwa ni Startimes na Zuku hao wana makubaliano maalum.
Lakini DSTV na Azam hawalazimiki kuacha local channel yoyote for free.
Sasa kama kila mtu atataka awekewe channel yake tutafika? Hata hivyo hizo TV za ndani unazotaka zaidi ni zipi? Hata DSTV channels za nje ni nyingi kuliko za ndani. Kuna wakati hutakiwi kuwa mtu wa kulalamika hovyo bali kuchukua hatua stahiki. Fanya utafiti wapi panakufaa na hamia huko bila...
Mkuu yawezekana unadanganya au unapotosha au wewe ni miongoni mwa hao wanafunzi watukutu. Uhamisho wa walimu toka Sekondari kwenda Msingi umefanyika mwaka huu na si mwaka jana kama ulivyosema.
Mwanafunzi anayejitambua hawezi andamana eti kisa mwalimu kahamishwa, tena wa history, huo ni upuuzig
Wa mwisho akiwa na maksi ngapi? Maana St. Fransis mwanafunzi wa kwanza alikuwa na Division One na wa mwisho alikuwa na Division Two. Sasa hapo shida iko wapi? Usikariri kuwa kila wa mwisho amefeli
Wa mwisho akiwa na maksi ngapi? Maana St. Fransis mwanafunzi wa kwanza alikuwa na Division One na wa mwisho alikuwa na Division Two. Sasa hapo shida iko wapi? Usikariri kuwa kila wa mwisho amefeli
Na huyu ukifuatilia utakuta ana degree. Yani mtu anatumia hisia badala ya vigezo na anazidi kutiririka tu. Sometimes muwe mnajiuliza na kutafakari kabla ya kuongea au kuandika. Kwanini usijipe muda kujielimisha?
Eti kuwe hoteli, vyuo, Hospitali
Na huyu ukitaka matusi muelimishe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.