Bila kujari kama Gwajima alikosea au hakukosea Pinda ndiye aliyemdhalilisha Pengo kwa kitendo cha kumshawishi mfipa mwenzake atoe lile tamko la kupinga maaskofu wenzake.
Wa ndugu naombeni msaada, nimelipia Azamtv kwa Mpesa Tsh.12,500 pesa imekatea lakini narudishiwa message inayosema invalid smartcard number sijui nifanyeje.
Nimekuwa nikifuatilia bunge la bajeti la mwaka huu tangu linaanza lakini bunge la leo baada ya wapinzani kususia bajeti ya Nishati na Madini huwezi kutamani kuendelea kutazama wala kusikiliza jinsi lilivyo poa sijui wenzangu mnalionaje.
Mkuu jipange upya unataja wabunge, mawaziri wanachama au viongozi wa CCM na ukisema wanachama siorahisi kuwajua wote, wasomi wengi wakiwa upinzani hawajiweki wazi kutokana na kazi wanazofanya na kuhofia hujuma toka CCM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.