Na Sasa mabint wa mjini wamejijulia ka mchezo ka kugeuza watoto Kama Chanzo Cha mapato kwa kuforce kuzaa na Watu maarufu au wenye nafuu ya maisha.
Bint anajua kbs jamaa keshaoa,hanipendi ila anaforce aloweke ishike mimba tu, afu mengine atajua mbele ya Safari.
Baada ya mimba zinaanza sarakasi...
Hizi dini pia zinachangia,
Mabint wanafundishwa kuzikataa condom, vijana wanaelekezwa kutokumwagia nje.
Huwez mwambia mtu asitumie Kinga na asimwage nje wkt mtu mwnyw anajijua kbs he's not committed to marriage. yaani "Hapa nasuuza rungu TU"
Matokeo yake Ni single mothers pamoja na watoto wa...
Soon baada ya kuoa,
Nliamua nisitishe uefa za usiku sn nisimkwaze wife, alkua hapendi.
Kichotokea sasa,
1. Siku nmechelewa kurud kwny uefa coz mvua alikua inanyesha, mvua ziliblock njia, akagoma fungua mlango akinambia nkalale uko uko. AISEE USIKU ULE NILILALA KWENYE GARI, akaja nifungulia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.