Samahani wanajamvi, poleni na majukumu.
Nimekutana na hii kitu na ni mgeni kabisa wa mambo haya, sijui ni nini na sijui soko lake likoje kwa kifupi sijui pa kuanzia.
Kama ni dhahabu nini nifanye na soko napata wapi na kama sio nifanyeje, kwa wenyeji wa haya masuala ya madini please naomba...
Asante sana... Ngoja nijisajili.
Haya mafunzo ni kwa ajili ya sheria na taratibu za TCRA katika ufanyaji kazi. Pia nadhani ni maalum kwa ajili ya kupewa leseni na kutambulika.
Asante sana kwa kunipa hizo taarifa sikuwa nazo kabisa.
Salaam wana jukwaa.
Naomba nianze moja kwa moja bila kupoteza muda. Mimi ni mhitimu wa Chuo cha Kikatoliki Mwenge, Moshi katika Bachelor of Science With Education. Katika pita pita zangu nimefundisha shule kadhaa tangu nimalize mwaka jana, Ila naomba kupata ujuzi zaidi katika Ufundi wa Simu...
Utaratibu wa kupanga hizo trend hata mimi huwa napata shida sana. Specification hakuna mtu anashidwa kujaji kabisa yaani... Sasa labda tumuulize mleta Uzi kuwa criteria ni nini hapo kwa hiyo classification yake
Thanks a lot... Windows 7 64 bit...
Nimefanikiwa operation niliyokuwa nahitaji.
But nimeshimdwa kusoma password ya simu ambayo nilikuwa najaribishia. Naambiwa niinstall drivers gani sijui nimesahau... But nitaweka screenshot hapa. Nimefanikiwa kutoa frp kusoma pattern n.k.
Bado naifanyia...
Jamani Mimi ni mwanafunzi... Na kwa sasa Niko katika harakati za kujifunza jinsi ya kutumia hiyo program ya computer.
Naomba kujua tatizo nini napoishia hapo katika operations zangu. Inakwamia hapo mda mrefu sana bila mafanikio yoyote.
Kwa mjuzi zaidi, naomba kujua shida huenda ikawa nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.