Switch bado ni mpya kabisa na box lake lipo. Mwenye Uhitaji na hiyo switch hapo inapatikana kwa bei rahisi sana kwa ambae atahitaji anicheki kwa namba
0652414900 au 0744885518
Location- Dar es salaam.
Specification zake ni [emoji116]
Model: S5720-52P-PWR-LI-AC
Ports: 48ports 10/100/1000 base T...
Habari wana JF.
Nilikua naomba kupata clarification kidogo ya kisheria kuhusiana na jambo hili Kuna mtu(Mpangaji mwenzangu) amekua akinizingua sana kwa kunitukana kwa matusi na wakati mwengine kutoa kauli za vitisho.
Hivi sasa ni mara ya 3. Nilibahatika kumrekodi kwa njia ya simu week kama...
Habari wana JF.
Nilikua naomba kupata clarification kidogo ya kisheria kuhusiana na jambo hili Kuna mtu(Mpangaji mwenzangu) amekua akinizingua sana kwa kunitukana kwa matusi na wakati mwengine kutoa kauli za vitisho.
Hivi sasa ni mara ya 3. Nilibahatika kumrekodi kwa njia ya simu week kama...
Rais wa Belarus,Alexander Lukashenko anayekabiliwa na shinikizo la Raia kuandamana wakimtaka ajiuzulu baada ya kukaa madarakani kwa miaka 26 amewaambia Raia hatoitisha uchaguzi mwingine labda wamuue “Mnasema uchaguzi haukuwa huru na haki, hakuna uchaguzi mwingine, labda mniue”...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.