Switch bado ni mpya kabisa na box lake lipo. Mwenye Uhitaji na hiyo switch hapo inapatikana kwa bei rahisi sana kwa ambae atahitaji anicheki kwa namba
0652414900 au 0744885518
Location- Dar es salaam.
Specification zake ni [emoji116]
Model: S5720-52P-PWR-LI-AC
Ports: 48ports 10/100/1000 base T...
Daaah very interesting wallah
Lakini maisha yana definition pana na fumbo gumu sana kulitambua yahitaji akili kubwa na hekima ya hali juu.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hii issue ipo hapa imeelezewa vizuri sana Rais Jakaya na waziri wake Magufuli waliitwa pia kama mashahidi upande wa utetezi lakini hawakutokea[emoji116][emoji116][emoji116]
Kuna kesi nyingi kubwa zinazohusisha watu maarufu zilizowahi kufunguliwa na kuamuliwa kwa nyakati tofauti katika historia...
Aaah nimekua nikisoma na kuambiwa kua Ni kosa la jinai kujichukulia sheria mkononi kama hakuna uladhima wa kufanya hivyo....
Yani ingekua ni kama njia ya kufanya self defence basi ingenibidi nifanye hivyo..
Lakini kwasasa yanipasa kutumia njia sahihi.
Nadhani namna ninayoweza kueleza na ikaeleweka kua ni kwa namna gani nilirekodi ni kwa njia ya simu ya mkononi.
Ambayo ni simu yangu mimi binafsi isiyojihusisha na mtu mwengine kwa namna ambayo haitoharibu ushahidi wala kuchezewa ushahidi
Kuondoka nataka ndo iwe njia ya mwisho kabisa kati ya machaguo mengine.
Na ndo mana najaribu hata kutumia vyombo vya kisheria kuweza kulitatua jambo hili
Muda wa kodi uliobaki sio issue
Issue ni sehemu niliyopanga ni potential sana kwangu kiasi cha kwamba siwezi kuwaza kuondoka eneo hilo kulingana na nature ya harakati za kimaisha ninayoziendesha ambapo hadi sasa nishajenga msingi wa kimaendeleo kwa takribani miaka miwili sasa kupitia nyumba...
Habari wana JF.
Nilikua naomba kupata clarification kidogo ya kisheria kuhusiana na jambo hili Kuna mtu(Mpangaji mwenzangu) amekua akinizingua sana kwa kunitukana kwa matusi na wakati mwengine kutoa kauli za vitisho.
Hivi sasa ni mara ya 3. Nilibahatika kumrekodi kwa njia ya simu week kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.