Kitabu nimekicopy ndio hiki je wataalamu kuna code zozote zimefichwa humu, kimeandikwa in poetic form.
THE GRANDPA THAT NEVER GREW UP
There once was a man
That was pretty old
Who did silly things and
Who couldn't be told.
When I asked
About his age,
He smiled and said,
"Have you seen me on...
Baba Levo
Baada ya mahusiano ya Baba Levo na mzazi mwenziye anayejulikana kama Mama Ruby au Salma kuvunjika, inasemekana kwamba mkewe huyo Salma alilaghaiwa na vibopa ili amwache Baba levo akaenda afrika ya kusini kula bata. Huku nyuma Baba levo alihangaika sana kwenye mahusiano kwakuwa alikuwa...
Hivi Tanzania kupitia TFF imeshindwaje kutoa tenda kwa makampuni makubwa yenye brand zinazofahamika ili kutengeneza jezi za timu ya Taifa (Taifa stars) badala ya ilivyo sasa jezi kutengenezwa na Sandaland the only one!
Wakati mataifa mengine ya Africa yaking'ara kwenye AFCON na nembo za jezi...
Siku mtakapo fuata maelekezo ya Papa sijui kubariki, sijui ujinga gani? Eti, couple ya mashoga mnawabariki kanisani. Ndipo hapo nitakapo acha kabisa kwenda kanisani. Na hii msituone waumini tumekaa kimya tumechukizwa sana na kauli hiyo, haiingii akilini na ina leta ukakasi katika utekelezaji...
Mtume Muhammad (SAW) alitokewa na njozi alipokuwa pangoni mnamo karne ya 7 A.D. Njozi hiyo ilimtaka kwamba aanzishe dini mpya ya kiislamu. Ikumbukwe kwamba kwa wakati huo dini ya kikristo ilikuwa imesha shamiri mahali kwingi ulimwenguni ikiwemo Asia na Ulaya Mashariki.
Kwakuwa dini ya Kikristo...
Wewe umetoa wapi hii, kama huna elimu ukae kimya uliza wenye elimu tutakuelezea, mtaalamu wa Computer Science nitakuchambulia kwamba BAKITA walikuwa sahihi.
DECODER
Neno decorder imetokana muungamiko wa maneno mawili yaani DE-CODE ambapo CODE ni msimbo kwa kiswahili. Ku DE-CODE ni kubadilisha...
Anaitwa Maria Ngoda, mkazi wa mtaa wa Zizi la Ng'ombe, Iringa. Siku ya tukio alikutwa karibu na makazi yake na ndoo iliyosadikika kuwa na vipande 12 vya nyama. Baada ya utambuzi, vikabainika ni nyama ya Swala.
Nyama hiyo, imetajwa kuwa na thamani ya TZS 900,000. Maria akajitetea akasema hakujua...
Allah humfahamu zaidi, umekariri vitabu usivyo vielewa umelazimishwa kujifunza lugha ya kiarabu ili uwe muislamu, mwisho wa siku umebaki kuwa mtumwa wa fikra na kuabudu mwezi na kibla.
Unaonyesha ujinga wako hadharani, hao wazungu wanatengeneza silaha za moto wanaua watu kwa maelfu husemi, huoni kwamba huo ni unyama ulio pindukia. Mauaji ya ualbino ni unyama kama mwingine, haiondoi umuhimu wa kuwaenzi mababu zetu waliokufa wakitetea mila za mwafrika.
Usiwe brainwashed hicho kitabu hujaandika wewe, umeletewa na wazungu umekiamini kuliko mizimu ya mababu zako, ingekuwa wanakupenda sana wasingechukua babuzetu watumwa na kupora ardhi yetu kwa mtutu wa bunduki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.