Ulitumia miaka mitatu kujenga means by 2016 ulikuwa umemaliza. Kuanzia 2016 hadi leo miaka zaidi ya sita bado haujawa stable, kama ulijenga kwa miaka mitatu imagine hii miaka sita ungekuwa makini ungesave kiasi gani!! Inaonekana ni wewe ndio mwenye shida.
Kujenga bongo ni rahisi sana, na ni...
Acha ufala, wife material huyo ndoto ya wanaume wengi.. unataka aanze kuvaa vimini na nguo za kuchoresha maungo aanze kupigiwa miluzi mtaani. Nikupe siri sasa, ukimuona tu kabadilika ujue ameanza kuchepuka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.