Ni sawa na mtu anaye nunua kiwanja au kujenga nyumba kwa hela ndogo aliyo nayo, alafu kila siku anashindia dagaa.. baada ya miaka mitano atakuja kugundua kua kumbe alifanya maamuzi bora zaidi.
Its a type of marketing brooo... hata hivyo kupiga show bila kufika mshindo ni tatizo.. maana utakua huridhiki na kumchosha mwenzio.. raha ya tendo ni wote kufikia mshindo..
TBC Watambue kua hicho chombo ni cha Watanzania, wamiliki wa TBC ni watanzania wote, wakiwemo wana CCM, Wana CHADEMA, Na wengine ambao sio wanasiasa. kama wataamua kurusha mikutano ya kisiasa basi wasiegeemee CCM tu, warushe ma vipindi vya CHADEMA... They a so biase.. ndo maana TBC inachukiwa na...
Ningefurahi sana kama mkuu angewambia kua wale wote ambao wanajiuzuru ubunge na kuhama chama, hakuna kufanya uchaguzi mpaka mwaka 2020, Hawa wanaojiuzuru wanatuingiza hasara, gharama kubwa ya mabilioni ambayo ingetumikakufanya mambo ya maana inagharamia uchaguzi amabao umesababishwa na maamuzi...
Watanzania....acha tuitwe watanzaniaaaa... tunaongea sana... tuanasahau haraka... tunalaumu sana... , tumepigwa sana katika tawala mbili zilizopita, tumebiwa sana, tumefisadiwa sana.. leo hii tumesahau mara. tunatukana, hata kwa mazuri yanaofanyika hatupongezi..tunalaumu tu.. utawala huu...
Sio kweli kua tunachukiwa duniani kote, Africa pia ni dunia, nako tunachukiwa..? halafu sio mwafrica tu anaye chukiwa, Myahudi ni mweupe lakini nae anachukiwa na waarabu... wamarekani pia huchukiwa na waarabu...
Wazungu watakusifia tu pale utakapo kubaliana na kile wanacho kitaka.... Hilo gazeti la The Economist mbona halijawahi kuripoti uwizi wa madini unaofanywa na makampuni yao ya kuchimba madini....?
1. Kwanza ujue Mungu sio dictetor, ametuumba sio kama roboti, ila wenye utashi, uwezo wa kufikiri na kufanya maamuzi ya kumtii au kuto mtii, kuheshimu taratibu zake au la. Hata malaika wamepewa uamuzi wa kumtii au kuto mtii. Mungu hakumuumba Shetani, alimuumba Lucifer. LUCIFER aliamua kutotii...
,
Hiyo sheria ipo au haipo...? kama ipo mnataka isifanye kazi..? kwa nini ilitungwa..? Raisi ni Kiongozi wa nchi, huwezi tamka mbele public ''kua raisi ni kitu gani'' unachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria unahisi umeonewa... neno ''raisi ni kitu gani'' litamke chumbani kwako sio mbele ya...
Lisu yuko vizuri sana kisheria, ila sio muda wote lazima iwe siasa. Sifia panapo stahili kusifia, na kosoa panapo staili kukosoa. Namuombea apone haraka huko aliko aje akosoe palipo kosewa, ila ajaribu kutumia approach nzuri. sio kama maneno haya ''Rais wa ajabu, ajabu sijapata kuona''
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.