Mahojiano ya Ndugu January Makamba & Gerald Hando (Power Breakfast Clouds FM) kuhusu Tanzania Mpya
https://soundcloud.com/jmakamba/mahojiano-ya-mh-january-makamba-gerald-hando-powerbreakfast-clouds-fm-kuhusu-tanzania-mpya
Mkapa alitatua matatizo yote Masasi? Alikuwa mbunge miaka mingapi?
Kikwete alitatua matatizo yote ya Chalinze na Bagamoyo? Alikuwa mbunge miaka mingapi?
Lowassa amemaliza shida zote za Monduli? Amekuwa mbunge miaka mingapi?
Pinda, Membe wote wamemaliza umaskini majimboni kwao na barabara zote...
@msemakweli
Wewe msemakweli gani uliye muongo kiasi hichi? Naona takwimu zimekusuta, sasa ukaamua kugombana na watoa takwimu! Umeshindwa hoja.
Eti nisome comments za online forums kweli? Hizo ndizo representative sample za waoni ya Watanzania kweli? Yaani umenisikitisha na kunidhalilisha...
Bwana msemakweli
Unachosema hapo juu hakiendani na scientific polling ya Watanzania iliyofanywa na Shirika la Twaweza mwezi uliopita juu ya swala hili, ambao asilimia 82% wanapendelea single tourism visa ya Afrika Mashariki.
Anachosema January Makamba kwamba Tanzania inabidi itoe uongozi na...
Mwakani January Makamba atakuwa na miaka 41, siyo 50.
Kwa mujibu wa Katiba ya sasa, umri wa kugombea Urais ni miaka 40 na haujabadilishwa katika Rasimu mpya.
ASANTENI SANA!
Naomba kurudia kutoa shukrani zangu za dhati kwa wale wote miongoni mwenu, wake kwa waume, wazee kwa vijana, walionitumia ujumbe na salamu kutoka pande zote za nchi - kwa kupiga simu, kwa kutuma ujumbe mfupi wa simu na kupitia mitandao ya kijamii - kueleza kufurahishwa kwao na...
HOTUBA KAMILI YA JAKAYA ALIYOTOA BUMBULI NA KAULI YAKE JUU YA JANUARY MAKAMBA KUGOMBEA URAIS:
https://soundcloud.com/jmakamba/hotuba-ya-mheshimiwa-rais-jakaya-kikwete-soni-bumbuli-julai-9-2014
Hoja ya kuiba mitihani ya A level ni riwaya ya JF. Kilichotokea amekizungumzia yeye mwenyewe kwa uwazi sana siku nyingi sana katika hii makala January Makamba.com ambayo inaelezea jinsi gani alivyonusurika mara nyingi kufukuzwa shule Marekani kwa kukosa ada, na jinsi gani alivyosumbuka kuomba...
MAHOJIANO YA JANUARY MAKAMBA NA GLOBAL PUBLISHERS...
KARIBU msomaji wetu katika makala maalumu kuhusu Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia. Global Publishers Ltd ilimualika January Makamba mwishoni mwa mwaka jana na hapa ni mfululizo wa mahojiano kati yake na wafanyakazi wa...
Ukitazama video utaona hakuna ukweli katika mambo mengi ambayo mtoa mada alidai kusemwa:
1) "January alikuwa amevalia suti yake nyeusi na shati nyeupe ikiambatana na tai nyekundu,"
- HAKUVAA TAI NYEKUNDU
2) "nilikusikiliza ukisoma kitabu cha Yeremia moja na kwamba kwa maneno yaliyomo katika...
Chuki tu inakusumbua. Bahati nzuri maelfu ya watu wapo inspired na January kila wakimsikia akizungumza au wanapoona utendaji wake. Haya matusi na kebehi dhidi yake hazina uhalisia wowote, huyeyuka pale watu wengi wanapozidi kung'amua kwamba ni majungu tu. Poleni sana mnaoendekeza majungu na chuki.
MAKAMBA: IPO HATARI YA MPASUKOFRIDAY, DECEMBER 27 2013, 7 : 52
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Bw. January Makamba, amesema ipo hatari ya Tanzania kumeguka vipande kutokana na watu wachache kujinufaisha na rasilimali zilizopo nchini badala ya Watanzania wote.
Alisema nchi...
MWANZA:Naibu Waziri wa wizara ya Sayansi na Teknolojia Januari Makamba amesema taifa lipo katika kipindi Kigumu hivyo kuwataka maaskofu na wachungaji wa makanisa mbalimbali nchini kuiombea nchi yetu ili ipate kiongozi mwenye sifa zinazotajwa katika Biblia.
Akizungumza kwenye Hotel ya Victoria...
Sio Mchungaji huyo ni mtunzi wa hekaya anayelipwa kumchafua January Makamba. Watanzania mnapumbazwa kirahisi sana. Lazima atakuwa ni mwandishi wa habari anayelipwa na watu fulani aliyeona ni bora ku pre-empt habari ya tukio lile kwa kuanzisha uzi huu wa kumpaka matope January. Its obvious.
1) Hakuwaita viongozi wa dini bali wao ndio waliomwalika katika sherehe yao ya kila mwaka. Kila Kristmasi viongozi hawa wanakula pamoja, sio mara ya kwanza. Ukisikizia sauti ya hotuba kuna ushahidi tosha kwamba January alialikwa kuhutubia, akaingia akawakuta wameshakaa, akaongea, wakala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.