Ww unaleta mawazo ya kuku tu,ww ni jamíí ya magamba,si wakati wa nani amefanya nini?Ni wakati wa utaifanyia nn cdm kuingia ikulu,mleta mada jipange haina makali hii
Ndugu zangu waislamu,katika vitu ambavyo vinadhalilisha utu w2 ni hili,HATA MTUME S.A.W ALIFANYA SENSA WAKATI WA JIHAD MAJUMBANI MWETU KABLA HATUJAPIKA MAMA ZETU WANAFANYA SENSA YA WATAKAOKULA CHAKULA
WAZO LANGU TUCHANGE PESA TUAJIRI WATU WATAKAOTUFANYIA SENSA AU TUWEKE ATTENDANCE MSIKITINI ILI...
@
Jackbauer
what is dr?nakupa hii, mikoa mingapi wakazi wake wamekutana na yanayofanana na ya ulimboka?madai ya drs ni kutekwa kwake?damu ya ulimboka si ya ukombozi,ni ya laana kwa watz?no comfirmed point about him,why gvnt?
Ziada ya kipato kukipata kupitia roho za watu huu ni ufreemasons,najiuliza kama mlikuwa hivyo mmefuata nini huko afya,iko wapi kujitolea kwenu kwa ajili ya afya zetu,politcs in profesionals is more harmful than expired medics,
lol drs
Ngongo mm nimekukubali,cdm kukosolewa si dhambi kiac cha william kupewa kejeli kihvyo!jamii yako ikikuambia mvivu wa kufikiria jipange na ujiongeze!wadau na wafuasi wa cdm si kila jambo la kushabikia,kwa hili la ma v8 siwaungi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.