Search results

  1. Abby Newton

    Jina la "Utopolo" linapotea kwa kasi mtaani

    Ni ajabu na kweli kwamba lile jina lililokuwa linawanyima usingizi mashabiki na wapenzi wa Young African sasa limejifia lenyewe by "Natural Death" huku wenzao wakipokea shurba hiyo kwa jina lao la "Makolo" kuibuka na kujipatia umaarufu mkubwa. Kweli kutesa kwa zamu. Tafuta hela heshima...
  2. Abby Newton

    Waliuza Chama wakanunua mabasi

    Nimeupenda sana huu msemo wa Ali Kamwe. Kamsemo kana ukweli eeeh!
  3. Abby Newton

    Nimefanikiwa kuacha kunywa soda

    Mwaka 2017 nikiwa chuoni niliamua kuacha kunywa soda na soft drinks zote baada ya kupima sukari na kukuta ikiwa juu kiasi. Sasa imetimia miaka 4 bila kunywa na nimezoea kabisa. Najihisi kuwa na afya njema sana na wala sitamani zaidi ya kuwaonea huruma wanaotumia. Asante Mungu!
  4. Abby Newton

    Unaikumbuka "Channel Afrika" idhaa ya Kiswahili iliyokuwa Afrika Kusini?

    Enzi hizo miaka ya 1993, 1994, 1995 ikifika saa 11 kasoro jioni kale ka mlio ka ndege kanaanza kulia. Ikifuatiwa na muziki mzuri wa reggae hasa Luck Dube. Those days were so beautiful and astonishing. Mimi namkumbuka sana mtangazaji wa kike nadhani kwa sasa ni marehemu "Jane Zondo"
  5. Abby Newton

    Tsh 5,000 ya mwenge kwa watumishi wote wa Halmashauri

    Nimetumiwa sms na mkuu wa idara ukiagiza kutoa mchango wa Tsh.5000 kwa kila mtumishi kwa ajili ya mwenge. Imenifikirisha sana sijui tunaenda wapi? Huku mchango wa mwenge kule kodi ya kizalendo kwenye miamala ya simu. Ng'ombe anakamuliwa mpaka atoe damu badala ya maziwa.
  6. Abby Newton

    Ushauri: Uwanja wa Gwambina Complex ufungiwe,Pitch ni mbovu

    Natazama mechi ya ligi kuu kati ya Gwambina vs Jk Tanzania. Kwakweli huu uwanja wa Gwambina Complex Pitch imechoka na ni dhahiri uwanja umekosa hadhi ya kutumiwa kwa michezo ya ligi kuu kwa sasa. Pitch ina vinundu vya manyasi na vipara vingi, hali inayosababisha mpira wa chini kushindwa...
  7. Abby Newton

    Ukimya wa Wizara ya Michezo ni uthibitisho kwamba kuna "Mkubwa" alikurupuka

    Toka sekeseke la kuvurugika kwa mchezo wa watani wa Jadi,Wizara ya michezo imekuwa bubu licha ya TFF kueleza kuwa ilipokea maelekezo ya kubadilisha muda toka Wizarani. Kuna usemi kwamba "If you hide the truth people will create their truth". Sasa kuna uvumi mwingi na kila mtu anaongea lake...
  8. Abby Newton

    Ushauri: Pesa za viingilio mechi ya Simba na Yanga iliyoahirishwa zitumike kuweka taa uwanja wa Uhuru.

    Ni kiu yangu kuona uwanja wa Uhuru ukiwa na taa km ilivyo uwanja wa Mkapa, au Azam Complex.Lengo baadhi ya mechi zinazopangwa kuchezwa pale uhuru saa 8 mchana basi zichezwa usiku. Kucheza mechi kwenye " Artificial Pitch" saa 8 au hata saa 10 jioni ni mateso kwa wachezaji.
  9. Abby Newton

    Angekuwa Magufuli kesho tungeamka na Breaking News ya Waziri wa michezo kutumbuliwa

    Asilani abadani Magufuli asingeweza kuvumilia huu upuuzi uliotokea leo uwanja wa Mkapa. Kesho asubuhi mapemaaa! kuna mtu angetumbuliwa. Huu si uzembe tu bali dharau iliyopindukia kwa familia ya wanamichezo. Kiungwana tu Waziri wa michezo atoke hadharani kutuomba msamaha. Na namshauri Mh. Rais...
  10. Abby Newton

    Wakenya hivi mnaelewa maana ya "Kutia kidole"?

    Ukikiongea Kiswahili cha Kenya hadharani ukiwa Tanzania unaweza jikuta umeshushiwa kipigo heavy. Hii lugha inawapiga chenga sana. Tuendelee kuwasaidia ipo siku wataelewa.
  11. Abby Newton

    Tulizeni presha Simba SC na Yanga SC hawajaanza kukutana leo

    Kuna watu wamechachawa na mechi ijayo ya watani ya tarehe 8 May, presha juu hawalali. Simba na Yanga wamecheza dabi toka miaka ya 30s hadi leo, na wataendelea kukutana miaka mingi ijayo labda hadi mwisho wa dunia. Ukitaka kufurahia Simba na Yanga usiwe na presha. Kuwa tayari kwa matokeo yoyote...
  12. Abby Newton

    Manabii wa sasa V/S Manabii wa zamani

    Unabii ni moja ya huduma 5 za Mungu za kuliongoza kanisa, iliyo muhimu sana kulingana na Biblia. Ukisoma vizuri maandiko utaona kuna tofauti kubwa iliyopo kati ya manabii wa sasa na wale wa zamani. Hizi baadhi ya tofauti:- 1. Nabii wa zamani mara nyingi walitabiri kuhusu mambo makubwa...
  13. Abby Newton

    Je TCRA wangeruhusu hili? Oneni kituko cha TV za Kenya.

    Hawa wenzetu sijui wanafeli wapi?
  14. Abby Newton

    Feisal "Feitoto" anachakujifunza kutoka kwa Carlinhos.

    Niseme tu kwa mara ya kwanza nimemuona Carlinhos akichezeshwa nafasi sahihi anayoimudu na aliitendea haki haswaa! Nadhani makocha waliopita hawakuliona hilo na hii ndio faida na hasara ya kubadilisha makocha. Kuna wa kunufaika na wa kuumia. Kufa kufaana. Yanga ina mapungufu mengi lakini kukosa...
  15. Abby Newton

    Faida na hasara ya kuoa mke kutoka familia yenye uwezo

    Bila kuchelewesha mada zifuatazo ni faida na hasara za kuoa mke kutoka familia yenye uwezo kifedha. A) faida 1.Kupata zawadi nyingi wakati wa harusi.Mnaweza pewa zawadi ya fedha, vitu vyote vya ndani, nyumba, magari,nk.Kwa hiyo kiuchumi inalipa. 2.Kiasi fulani inaweza kukupa heshima mtaani...
  16. Abby Newton

    Aina gani ya nyanya inafaa kulima msimu wa masika?

    Nyanya ni zao ambalo hushambuliwa sana na magonjwa ya ukungu msimu wa mvua nyingi na msimu wa baridi kali. Hali hiyo husababisha bei ya nyanya kupanda sana kipindi hicho na wale wanaobahatika kuwa na nyanya vipindi hivyo huuza kwa bei nzuri. Naomba kujua ni aina gani ya nyanya inayofanya vizuri...
  17. Abby Newton

    Karibu tujadili Ubovu wa Yanga kitaalamu.

    Msimu huu pekee Yanga wamebadilisha makocha zaidi ya 3 lakini timu bado haina matokeo mazuri.Kitendo cha kubadili badili makocha ni dalili tosha kuwa timu ina matatizo ndani ya uwanja.Nimekuwa nikiifuatilia Yanga inapocheza kwa makini sana. Yanga wanatatizo kila idara,na sina hakika km wanajua...
  18. Abby Newton

    Kenya wana haki 100% kwenye mzozo wa mpaka na Somalia

    Ukitazama mpaka wa Tanzania na Kenya ni dhahiri Kenya wana haki ya kutetea eneo la bahari ambalo Somalia wanadai kuwa ni lao. Kama madai ya Somalia ni halali basi hata Kenya wangeweza kuibuka na madai kama hayo dhidi ya Tanzania. Madai kama haya nayafananisha na yale ya Malawi dhidi ya Tanzania...
  19. Abby Newton

    Things has fallen apart for Kaze

    Nakumbuka wakati Kaze anatajwa kutakiwa na Yanga, kuna mwandishi mmoja wa Burudani/ Rwanda Kama sikosei alisema Kaze hana uwezo wa kufundisha timu kubwa kama Yanga. Akatoa sababu kadhaa ikiwepo ya kukosa uzoefu wa kutofundisha timu kubwa na zenye presha. Leo nimeamini hiyo kauli na nakiri...
  20. Abby Newton

    #COVID19 Wanaoipinga chanjo ya Covid-19 ipo siku watapanga foleni kuchanjwa

    Kuna watu wanaishi kwa kuamini kila taarifa.Kwa ujumla ulimwengu wa leo unaendeshwa na habari za uzushi na uongo.Unaposikia au kuambiwa jambo lolote lazima ulichekeche. Ndio maana tukaambiwa akili za kuambiwa changanya na za kwako. Kuhusu chanjo ya Covid-19, kuna watu tena viongozi wakubwa wa...
Back
Top Bottom