Aloyce Nyanda ana unguli upi? Kwanza ni muoga,hajiamini na anahoji maswali mepesi kwa kupendelea CCM na serkali. Ndio maana kamwe hawezi kuchukuliwa na Television kubwa km Azam na ITV. Kwangu ni mganga njaa tu.Hana lolote.
Hicho ndo kinasababisha nisitembelee Hiyo mikoa. Nakereka sana napoona huo uharibifu wa mazingira uliokithiri.Angalau mikoa ya kusini kunaafadhari. So sad.
Ushauri mzuri mno tatzo thread km hizi wasomaji huwa wachache .
Mimi ninapotembea au kusafiri hakuna kitu kinanivutia km kuona mistu na uoto mzuri wa asili. Pia huwa nakerwa sana ninopoona jangwa na uharibifu wa mazingira.
NPK aina ya Yara Otesha inafanya vizuri sana. Muhimu weka mbolea yako siku 7 baada ya mahindi kuota. Usipande na mbolea moja kwa moja,kwani inasababisha "wastage" ya mbolea kwa kubebwa na maji au ikitokea upunguvu wa mvua mbegu zinaweza kuungua.
Ni ajabu na kweli kwamba lile jina lililokuwa linawanyima usingizi mashabiki na wapenzi wa Young African sasa limejifia lenyewe by "Natural Death" huku wenzao wakipokea shurba hiyo kwa jina lao la "Makolo" kuibuka na kujipatia umaarufu mkubwa.
Kweli kutesa kwa zamu.
Tafuta hela heshima...
Pia Warabu wanajifanya wajuaji wa kila kitu. Anaweza kukuita km mtaalamu umfanyie kazi fulani km ujenzi,ufundin.k. Ukifika kwake anaanza kukufundisha namna ya kufanya/ kutengeneza. Ukijifanya mjuaji zaidi ake anakutimua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.