Kujipa moyo tu k ile ile sawa na nyama tu unabadilisha bucha tu.kama unashiriki na mkeo kila siku hacha wiki ipite bila kushiriki alafu shiriki naye utahisi kuna kitu kimebadilika kumbe sio.hacha uzinzi tulia
Sipendi matangazo hayo yanahamasisha kuvunjika kwa ndoa na wengi ya wasichana watachaguwa njia hiyo.nAshauri serikali ipige marufuku matangazo hayo.kama inavyofanya kwa ushoga.
Kwanini watu waamini katika siasa ndo watapata maendeleo wakati siasa ni Kazi kama nyingine nao wanasaka tonge.igawa maamuzi yao yanaleta madhara katika jamii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.