Maisha haya jamani, hebu imagine una mpenzi wako unaempenda kwa dhati halafu anatokea mtu from nowhere anakwambia anahitaji kuwa na mpenzi wako wajege kuishi pamoja lakini anakuomba akupe milioni 1 muachane kama hautaki basi tegemea siku za hivi karibuni atakuacha tu.
Utachagua lipi kati ya...
Ndugu zangu Waislamu,
Issue ya Pasaka wenyewe mliona Covid-19 ilikuwa imechanganya, lakini hii Eid si mnaona hata mipira imeanza. Tufanyiane wepesi basi leo mchana. Dini zinakataza visasi.
*Kama una miaka kati ya 20-25, upo uwezekano mkubwa Baba na Mama mkwe wako wa baadae wamo humu mitandaoni.
Kama una miaka kati ya 25-45 upo uwezekano mkubwa mkwe mwenzako yuko humu mtandaoni.
Tuishi humu kwa kuheshimiana, kusitiriana na kuweka akiba ya maneno. Hujui kesho mtakutana wapi...
Ni matumani yangu kwamba humbu ndani wote hatujambo ila ikiwa yupo ambaye hayuko poa kiafya namtakia uponjaji.KWA NINI HOUSE GIRL ASIMCHUKUE MUMEO,,,?
Kwa kukaa kama Sanamu.
MUME: darl ninakikao mkoani kesho naomba niandalie vitu plz
MKE: dada zile nguo za baba pmj na soksi ulifua?
DADA...
Kila mwenye moyo wa kupenda wa dhati niko kwa basi naenda Arusha maombi yako tafadhali,pamoja na maombi kampani ni muhimu.
Halafu wale wenyeji humu ndani mlioko Arusha ruksa kunipokea ila tu sehemu za starehe sipendelei kwa sababu maalumu.
Wanajamvi amani weI nanyi.
Kama wasemavyo wana Chadema kama kwenye uchaguzi mdogo kiasi hiki wanalalamika kuchezewa rafu na CCM,tena na kuamua kurudisha majeshi yao nyuma si ni aibu kubwa hata kwa wanaowaongoza kutwa kulalamika kwenye mitandao tu bila kutafuta ufumbuzi.
Hakuna Nyuki yeyote...
Leo ni tarehe 17 November
TUKISUBIRI MSHAHARA MPYA...
Baada ya mwezi huu kuisha,utafuata mwezi wenye likizo ,sikukuu na ni mwezi wa starehe zaidi kuliko miezi yote katika mwaka (December) .
Ni mwezi wa matumizi.
Halafu unafuata mwezi wa majanga (January).
January ni mwezi wa Ada za...
Baada ya kufanya utafiti na kuridhika nao. Sasa tumeamua kuutoa mbele ya Watanzania! Kama hujui hesabu hasa Probability sasa iko hivi, probability ni uwezekano wa kitu fulani kutokea sasa leo tunaenda kuzungumzia uwezekano wa mtu kuolewa au kuoa hasahasa nchini Tanzania.
*WANAWAKE*
1. Ukiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.