Haya tena. Maandamano mengine makubwa Ujerumani kuwapinga waliondamana kupinga uislam- fuatilia hapa BBC News - Germany Pegida protests: 'Islamisation' rallies denounced . dunia ya wastaarabu ni kuishi pamoja kwa amani na kuheshimiana si kukejeliana. tofauti hazina mwisho
Makamanda tumwagieni management team ya EWURA TUWAJUE. sioni sababu kwanini kada mmoja ayumbishe authority yote. au chini yake kuna vijana wa kazi anawaogopa?
vyombo vimejitahidi kuripoti habari za Arumeru. Japo kila mwandishi ana "uzalendo" wa aina yake kwa chama anachokipenda. Muhimu tuepuke utamaduni wa kutukanana majukwaani kisha tunaanza kuulinda. Matusi hata ukiyarudia yanabaki matusi na unakuwa umetukana mara ya pili.
Mdadisi -DSM
NYOTA NETWORK GROUP PRESENTS:
Habits of highly effective people
There is no real excellence in all this world which can be separated from the right living
When
31 Mar, 2012
From 2pm to 4pm
Where
Brajec International (former Peace of Mind - TPDC compound), Mikocheni
Investment
TZS...
Ok waswe, tutairusha soft copy ikipatikana. hakuna hata "thinker mmoja" aliyetazama attachment. wengi wao wanabwabwaja tu. if Great thinkers are like this....!!! maliza mwenyewe.
JUMAPILI HII Maelfu ya WAISLAM wamekutana katika ukumbi wa Diamond Jubilee na kuazimia namna nzuri ya kujitatulia matatizo yao yanayosababishwa na walichokiita "mfumo kristo".
Mada kuu ilikuwa ni kuzindua kitabu (cover and some pages attached) kinachotoa ushahidi wa madai yao na Pia wamechukua...
MOhamed, huna haja ya kuwajibu wanaokejeli hoja na wanaokupa 'udini' kabla ya kusoma kwa makini ulichoandika. Hao si great thinkers. wameingia humu kwa bahati mbaya tu ya kuijua teknolojia ya kubonyeza vidole. bravo kaka.
uongo utajitenga tu, ni kanuni za kimaumbile.....
tena kama coincidence 'waislam hawa wa madrasa' wanadai juhudi zao ndo zilimng'oa mkoloni na elimu hiyo pungufu ndio iliomsaidia Nyerere kukubali ushauri wao na kuanza kuvaa suruali. yote yanayowakuta ni mfumo kristo. sasa wanataka ukombozi kwa mara ya pili!!!
Mchana huu waislam wa Kigoma wametoa tamko kali kuhusu dhulma walizofanyiwa na wanaouita "mfumo Kristo". wamemlaani Nyerere na wote wanaoendeleza dhulma. Nimeambiwa redio Imaan ilirusha matangazo laivu wakimtaka Rais Jk awafukuze kazi Mkuu wa mkoa, ma dc wa wilaya zote za kigoma. kwa wale...
Kama mtu hajui kutofautisha Karimjee hall na Diamond Jubilee sidhani kama anaweza kuwasemea waislam. great thinkers wako makini hata katika kuanzisha thread.!!!!!!
Jile79
asante kwa takwimu zako. naomba source uliyotumia ambayo imethibitisha waislam ni "wavivu" ndo maana wachache shuleni na hivyohivyo wachache makazini.
asante.
Nimetumiwa text msg kuwa kuna ndege imeanguka punde na kugonga gari eneo la segera na barabara imefungwa. Wadau mnaombwa kufuatilia news hii
======
UPDATE:
It's confirmed, ndege imeanguka eneo hilo (maeneo ya Kabuku) na imeliangukia gari ambalo inahisiwa ni la watalii, mwandishi wetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.